Historia ya

Katiba ya Muungano wa Tanzania Baada ya Uhuru

KATIBA ni sheria au kanuni zinazoainisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao. KWA UPANDE WA WANANCHI, katiba ni sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya kisiasa na kuonyesha madaraka na majukumu ya serikali. Katiba za nchi pia huainisha haki za msingi za wananchi. Kuna aina kuu mbili za Katiba (a) Katiba isiyo ya maandishi (ya kimapokeo) (b) Katiba ya maandishi.

2005

Mabadiliko ya Katiba mwaka 2005

Sheria ya mabadiliko ya Kumi na Nne katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Soma zaidi »

2000

Mabadiliko ya Katiba mwaka 2000

Sheria ya kufanya mabadiliko katika Katiba ya Jamhuri ya Muungani ili kurekebisha mambo kadhaa kutokana na maoni ya wananchi.

Soma zaidi »

1995

Mabadiliko ya Katiba mwaka 1995

Sheria ya kufanya mabadiliko katika katiba Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kufafanua masharti yahusuyo viongozi wakuu nchini, kuweka misingi ya maadili katika Utumishi wa Umma na mambo mengine yanayohusiana na hayo.

Soma zaidi »

1992

Mabadiliko ya Katiba mwaka 1992

Sheria ya kufanya mabadiliko katika Katiba ya Muungano wa Tanzania ili kuweka masharti mapya ya uteuzi wa mgombea pekee katika uchaguzi wa Rais wa Zanzibar

Soma zaidi »

1990

Mabadiliko ya Katiba mwaka 1990

Sheria ya kufanya mabadiliko katika Katiba ya Muungano wa Tanzania ili kuweka masharti mapya ya uteuzi wa mgombea pekee katika uchaguzi wa Rais wa Zanzibar

Soma zaidi »

1982

Mabadiliko ya Katiba mwaka 1982

Kufanya mabadiliko katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa madhumuni ya kuweka utaratibu upya wa uteuzi wa Wakuu wa Mikoa

Soma zaidi »

1980

Mabadiliko ya Katiba mwaka 1980

Sheria ya kubadilisha baathi ya masharti ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, kwa madhumuni ya kubadilisha idadi ya Wabunge waowakilisha wilaya za uchaguzi ili idadi mpya ya Wabunge iwe sawa na idadi mpya ya wilaya za uchaguzi

Soma zaidi »

1977

Katiba Mpya mwaka 1977

Katiba mama ilipatikana kwa udhamini wa baba wa Taifa ikiwa ni katiba ya kwanza kuanza kutumika kwa nchi yetu.

~ Mwalim J.K. Nyerere

Latest Publications