“Chochote kinaandikwa kwenye Sheria haipaswi kuwa na mashaka juu ya mamlaka ya Mhe. Rais. Hatuwezi kutengeneza nchi chini ya mashaka, ni vema kumuamini Rais chini ya vyombo vyake. Ni vema tuamini kuwa kuna Watumishi wa Umma ambao ni waaminifu maana wanapitia michakato. Tumesema kuwa Tume itakuwa huru, tumeshaandika kwenye sheria kuwa Tume itakuwa huru, hii inatosha hatuhitaji maneno mengine. Watumishi wasiwe waoga kwakuwa watu wengi wanasema kuhusu jambo Fulani (tunaondoa paradox), tutunze ustahimilivu (Resiliency)” Bw. Thabiti Mlangi;


