
Faida ya muhadhara huu ni;
1. Kuongeza uelewa kwa umma
2.Kupambana na ufisadi na unyanyasaji wa mamlaka
3. Kongezwa kwa upana wa uelewa kwa vyombo vingine vya haki na sheria


Muhadhara huu kwa ujumla wake unaleta umuhimu katika kukuza uwajibikaji, uwazi na uelewa wa umma kuhusu masuala ya sheria na haki nchini Urusi na hata kwa mataifa mengine.
#SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Sisinitanzania #Matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #Katibanasheria


