SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, Maamuzi ya Diana Rose Vs AG na alisemea viapo vya watu 72 havipo na walitakiwa kuleta viapo:
Haya maamuzi yanategemea na maada inayobishaniwa. Na hoja yao ni suala la muda sio suala la idadi ya watu walioshiriki kutoa maoni. Tujikite kwenye muda.
SA Mayunge: Kwenye kiapo cha Maria, kwenye verification alisema haya anayoyasema, ni kwa ufahamu wake mwenyewe lakini pia 14.07.2023 tulifile kiapo cha Maria Mpale, kiapo hicho hakikupingwa na kimeeleza uwepo wa watu hao, maoni yalivyotolewa na kikaambatisha maelezo ya Bunge.
SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kwenye annexure OSGAF5 ya Maria Mpale, kuanzia ukurasa wa 6 (Taarifa ya Bunge). Katika taaifa hiyo(anasoma;..)Sehemu hii inaeleza na kukiri namna maoni yaliyopokelewa na Bunge kutoka kwa wadau yalivyosaidia na walalamikaji hawakupinga suala husika
SA Mayunge: Waheshimiwa kwa upande wetu tumetekeleza mambo yote kwa mujibu wa sheria na hata hivyo walalamikaji hawakuzuiwa kutoa maoni. Naomba niende kwenye issue ya 1 ya mahakama kuhusu ratification na kwangu nimebakiza machache tu.
SA Mayunge: Waheshimiwa majaji: Mkataba huu IGA ni Mkataba ya kimataifa unaoweka misingi na maeneo ya ushirikiano hapo baadae. Nirejee katika ibara ya 5(2] ya IGA Kifupi kinasema: kwamba mkataba huu unategemea mikataba mingine ya miradi na huu ulivyo hauwezi kutekelezwa
SA Mayunge: Waheshimiwa majaji IGA kwa hivi ilivyo haivunji kabisa sheria ya Rasilimali Na.6 ya mwaka 2017 kwani IGA sio mkataba wa utekelezaji.
Waheshimiwa majaji vifungu vyote vilivyosemwa na wakili Mwabukusi tunaungana navyo lakini havihusiani na Ratification process.
SA Mayunge: Wahe. Majaji, Irene linus &11 others Vs. TPA &another. Mahakama ya rufaa ilisema sio suala la courtesy bali ni ya lazima. Majaji hawapaswi kutoa maamuzi yanayopingana.Kwa wakati huu mkataba huu upo incapable of violating sheria za Rasilimali, Act no. 5, 6 za 2017
SA Mayunge: Naomba nirejee annexure OSGOF5 Katika ukurasa wa7(Maelezo ya Bunge); kwamba aina ya ubia, kiasi cha ubia kitakuja baadae na sio mkataba huu wa IGA.
SA Mayunge: Na IGA sio mkataba wa mradi wowote wa Bandari na mikataba ijayo ndio inapaswa kutathiminiwa kama inavunja Sheria za Rasilimali, Sura na.5 na sura na. 6 za mwaka 2017
SA Mayunge: Katika uwasilishwaji wa Mwabukusi alirejea mahakama katika Preamble J” ya mkataba wa IGA then ibara ya 2(1) inayoongelea maeneo ya ushirikiano na sisi tunaona is fine kuwa na mawanda hayo.
SA Mayunge: Aliongelea Article 4(2] ya IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper. Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani? Anamaliza kwa kuuliza hivyo wakili wa serikali Mayunge.
SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 28 ya katiba. Hii ni ibara inayotoa wajibu kwa watanzania dhidi ya uvamizi wa nchi.
Katika hili lazima kuwa na uthibitisho na lazima ionekane kama kuna vita.
SA Edwin: Na TPA ikiona zinafaaa kwa nchi itaruhusu DP WORLD Kuendelea na uwekezaji na kama itaona haifai haitaruhusu.
Wahe.majaji suala linaloenda kufanyika saizi sio jipya na hata kabla ya DP WORLD Kulikuwa na TICS.
Anasimama wakili wa wananchi senior Mpoki anaweka pingamizi
SA Edwin: Kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba inasisitiza lazima kuwepo na Vita, na katika mawasilisho ya waleta maombi hatukuonyeshwa kwamba nchi ipo vitani.
Pia hatukuonyeshwa kwamba tumetia Sain kukubali tumeshindwa vita na adui, hatukuonyeshwa na tumeridhia uvamizi ufanyike.
SA Mark: Waheshimiwa yale yote yaliyoombwa na walalamikaji na hata ukichujua katiba yetu na mkataba unakuta hakuna kifungu kilichovunjwa.
Naomba mahakama itamke kwamba kwa mujibu wa taratibu za bunge, wamanchi walipewa muda wa kutoa maoni kwa mujibu wa sheria.
SA Mark: Pia itoe tamko kwamba: mkataba wa IGA ni mkataba wa kimataifa na Serikali yetu ilikuwa na haki ya kuingia katika mkataba husika na haufungwi na sheria zetu za ndani. Taratibu zote za ratification zilifuatwa pamoja na uchambuzi wa kamati ya mkataba wa IGA zilikuwa proper
SA Mark: Na vile vile kwenye mikataba ya aina hii haihitaji consideration.
Kuhusu sheria ya mamunuzi ya Tanzania, mahakama itamke kwamba sheria hii haina nguvu dhidi ya mkataba wa kimataifa (IGA)
SA Mark: Waheshimiwa majaja walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted.
Walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted
SA Mark: Waheshimiwa majaji, katika mazingira kama haya tunaomba kupatiwa gharama zetu na pia shauri hili lifutiliwe mbali (To dismiss the petition with cost to the government)
Naomba kama serikali kuwasilisha
Anamaliza wakili kiongozi wa serikali Bw. Mark.
Adv. Mpoki: Na hichi ndicho kilisemwa katika kesi ya tabora: “Salimu kabora Vs. Tanesco Ltd, ukurasa wa 16” hivyo mahakama kuu haina limited jurisdiction na mnamamlaka ya kuangalia uvunjwaji wa katiba na your defenders of the Constitution.
Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji mna kazi ya kuhakikisha katiba yetu inalindwa na kutovunjwa.
Sasa nije issue ya Constitution: waheshimiwa majaji, wenzetu walitaja ibara ya katiba na sheria na tuna kubaliana nao.
Adv. Mpoki: Lakini kama kweli unataka watu washiriki kuna kanuni kuu tatu [ adequate, sufficient, reasonable) na hakuna hata kimoja kilichotimizwa.
Wanakubali kwamba notice ilitolewa tar 5 June 2023 na kuwataka watu watoe maoni tar 6 June.
Adv. Mpoki: Wanakubali kwamba notice ilitolewa kwa mitandao na wao wanataka tuthibitishe.
Waheshimiwa majaji, the principle is we can’t prove the negative but to disprove by evidence.
Kwa mfano nakuambia sina hela halafu unaniambia proof. You can’t proof the negative.
Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji tukikubaliana nao tutakuwa tuna water down the essence of notice. Anaweza akaja mtu akatoa notice ya masaa mawili kwenye jambo kama hili?
Angalia walioshiriki ni 72, mmoja peke yake ndio alihudhuria na wengine wote walituma email.
Adv. Mpoki: Wanasema ambaye angefika kutoa maoni angeridishiwa nauli. Lakini tangazo halikutangaza kwamba watao hudhuria watapewa nauli.
Pia wanakubali kwamba waliweka resolution to be adapted lakini hawakuweka mkataba halafu wanaitwa watu kudiacuss mkataba hawapo serious hawa.
Adv. Mpoki anasoma Notice ya bunge ya wito kwa wananchi kutoa maoni ya bandari.
Adv. Mpoki: Nasisitiza kwamba walitaka watu waje kudiscuss azimio la bunge kuhusu mkataba wa bandari ambao wananchi hawaujui.
Adv. Mpoki: Ni rai yetu kwamba notice haikuwa sufficient kwa kuwa watu wameitwa kudiscuss Azimio tar 05.june kabla halijapitishwa na Bunge tar 10.june.
Hii ilipunguza sana ushiriki wa watu waheshimiwa majaji.
Adv. Mpoki: Wenzetu wametoa kesi 2 za South Africa kuonyesha kwamba ni bunge lenyewe linaweza kuamua kuhusu reasonable time.
Kwenye kesi ya kwanza waliyoitumia, wao walipewa siku 30 na walilalamika. Sisi notice ya masaa 24 kulalamika sio jambo baya.
Adv. Mpoki: Na kwamba kitendo chochote cha kutoa notice kusifanye public isishiriki kwa namna yoyote kama hii yetu ilivyokuwa.
Pamoja na kwamba ni bunge lenyewe lina ridhaa ya kuweka notice lakini lengo linapaswa liwe kufanya watu washirki.
Adv. Mpoki: Nimalizie kitu kimoja kwamba, kwa sababu wananchi wamechagua wabunge. Wabunge ni wawakilishi wao. It seems very attractive lakini lakini kifungu cha 108[2] ya kanuni ya Bunge Imewekwa ili wananchi washiriki katika kutoa maoni kwenye mambo yanayowahusu.
Adv. Mpoki: Naomba mahakama hii isichukulie maanani kwamba wabunge wenyewe ndio wanapaswa kushiriki na ndio msingi wa kanunu ya 108[2] ya kanuni ya bunge na haitakiwi kuwa kiini macho.
Adv. Mpoki: Na mwishoni wenzetu katika submission zao wamesema kwa sababu hatukujibu majibu yao hivyo Tumekubaliana. Ni kanuni kwamba mwenzangu akisema mimi nikibisha ndio msingi wa kukutana mahakamani.
Adv. Mpoki: Kwa misingi hiyo hakukuwa na msingi wa sisi kujibu jambo ambalo tushalibishia awali na wao wamejibu na ndio maana tupo hapa.
Waheshimiwa baada ya kusema hayo naishia hapo na namualika msomi Mwabukusi aendelee.
Baada ya wakili Mpoki kumaliza kujibu hoja za mawakili wa serikali, mahakama inaairishwa mpaka asubuhi saa 09:00 ya Tarehe 28Julai 2023 ambapo wakili Boniface Mwabukusi ataendelea kujibu hoja za mawakili wa serikali.
TAREHE 27 JULAI 2023 MAJAJI WANAINGIA MUDA SAA 09: 44 ASUBUHI.
MAJAJI WATATU;
1. Hon. Ndunguru
2. Hon. Ismail
3. Hon. Kagomba
Wote wameinama wanaandika
Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.
MAWAKILI WA SERIKALI;
1. Adv. Mark Muluambo
2. Edson Mwaiyunge
3. Alice Mkulu
4. Stanley Kalokola
5. Edwin Lwebilo.
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;
1. Mpale Mpoki
2. Boniface MWABUKUSI
3. Philip Mwakilima
4. Livino Ngalimitumba.
Anasimama wakili kiongozi wa serikali Mr. Mark na kuijulisha mahakama kuwa wako tayari kuendelea na majibu yao.
Mahakama inaruhusu.
SA Kalokola: waheshimiwa naendelea na hoja namba 6 kama mkataba huu IGA ulizingatia sheria ya Manunuzi (Procurement Act)
SA Kalokola: Hoja hii inatokana na ombi na 4 ya Origjnating summons kwamba IGA haikuzingatia Sheria ya Manunuzi.
Na katika aya ya 12, walalamikaji wanasema kuna tender inetolewa kwa DP WORLD Kinyume na sheria za manunuzi.
SA Kalokola: Majibu yetu yapo katika aya ya 14 ya kiapo cha Mohamed Salumu kwamba; Hakuna tender iliyotolewa na hakuna majibu yaliyoletwa na wenzetu kupinga hili.
Waheshimiwa majaji wenzetu waliandika jina la kampuni DPW na sisi tunajua kuwa kuna kampuni ya DPW Na hawakukanusha
SA Kalokola: Pia kwa Kuwa Mkataba wa IGA ni mkataba wa Kimataifa unasinamiwa na sheria za kimataifa hivyo sheria ya manunuzi haiwezi kutumika bali sheria za kimataifa.
SA Kalokola: Waheshimiwa Mkataba huu ni framework agreement ni mkataba wa ushirikiano wenye mifumo ya uwekezaji kitu ambacho hakiwezi kuhusiana na dhana ya manunuzi kana kwamba kuna nchi inamnunua mwengine.
Hivyo wenzetu hawakupaswa kulazimika kuja na hoja ya kimanunuzi.
SA Kalokola: Wakili Mwakilima alisema kuhusu sheria ya manunuzi naomba tuongozwe na kifungu cha 12 cha Tanzania Port Act. Kunachozungumzia Kazi za TPA.
Majukumu ya TPA ni kupromote local &FOREIGN investment kwenye bandari. Na kama wenzetu wangeanzia katika dhana ya uwekezaji.
SA Kalokola: Kunapokuwa na International obligations na inakinzana na sheria za ndani, Sheria za kimataifa zitasimama dhidi ya sheria za ndani hivyo masharti yaliyopo kwenye IGA yanasimama.
SA Kalokola: Na kwamba Mkataba wa IGA haukuzingatia matakwa ya sheria ya manunuzi is a misconception (Kupotoka).
Yaani wametumia dhana fulani kwenye eneo ambalo sio mahala pake. Hivyo hoja ya 4 na 5 na 6 kwenye matumizi ya mikataba nimejibu hivyo na naomba hoja zangu zizingatiwe
SA Kalokola: Waheshimiwa majaji Walalamikaji wameshindwa kuthibitisha hoja zote tatu na niombe mahakama irejee kwa shauri la Center for strategic litigation Ltd & another Vs. AG and others.
Anamaliza wakili wa serikali Bw. Kalokola sasa anamkaribisha wakili mwingine wa serikali kuendelea kujibu.
Anafuata wakili wa serikali aitwaye Mayunge.
Sasa ni zamu ya wakili wa serikali aitwaye Mr. Mayunge na ni wakili wa tatu wa serikali katika kuwasilisha majibu kwenye kesi hii ya bandari.
SA Mayunge: amekaribishwa na anaendelea. Nitaanza kujibu hoja namba 2 ya Senior Mpoki:
SA Mayunge: Waheshimiwa, Nikirejea ibara ya 21(1] ya Katiba ya Tz, kimsingi inaelezea kuchagua na kuchaguliwa kwa wabunge na kwamba ni wawakilishi wa wananchi.
Pia ibara ya 63(2] ya Katiba ya Tz, maudhui yake ni kwamba Bunge linasimama kwa niaba ya wananchi kuisimamia serikali
SA Kalokola: Nirejee pia ibara ya 63(3]e ya Katiba Tanzania inayotamka kwamba; utekelezaji wa madaraka ya Bunge: ni kujadili na kuridhia mikataba.
Nirejee 89(1],(2] ya Katiba ya Tanzania, inayosema bunge litatunga kanuni za kudumu kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zake.
SA Mayunge: Ibara ndogo ya [2) Bunge kutunga kanuni ndogo za utekelezaji lakini pia ibara ya 96inayoeleza: BUNGE Laweza kuunda kamati mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza madaraka ya Bunge.
SA Mayunge: Waheshimiwa, kutokana na ibara ya 89(1] Bunge la JMT limetunga kanuni za kudumu kama ilivyoelekezwa mfano kanuni ya 108 ambayo nitasoma kanuni ndogo ya 2.(Quote as its )
SA Mayunge: Waheshimiwa katika kiapo cha Maria ambacho pia ni kiapo cha Bwana Salum, serikali iliwasisha Mkataba wa IGA bungeni kwa ajili ya ratification.
Katika aya ya tatu anaeleza jinsi serikali ilivyopeleka mkataba Bungeni kupitia barua iliyoambatanishwa.
SA Mayunge: Pamoja na yote yaliyoandikwa naomba nisome aya ya kwanza: Baada ya kukamilika shughuli za serikali, Kutokana na umuhimu wake tunaomba kuwasilisha shuguli 7 ili Bunge lifanyie kazi kwa mambo yafuatayo.
SA Mayunge: 1. Kuazimia azimio la serikali kuingia Mkataba wa IGA na DP WORLD From Dubai. Baada ya hapo kanuni ya 108[2] ikaanza kutekelezwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na bunge.
SA Mayunge: Na bunge ilialika wadau ili watoe maoni yao kupitia Notice iliyoambatanishwa kwenye kiapo cha Maria, kiambata OSGF2 Kwenye aya ya 5.
Wahe. majaji naomba nisome kiapo husika ili muone kama it was reasonable
Majaji : wanamruhusu
Wakili: Serikali: anasoma barua husika
SA Mayunge: Kwa ujumla notice inahusu Mkutano wa Kupokea Maoni dhidi ya mkataba wa IGA.
Waheshimiwa majaji, hili tangazo waliliona waleta maombi na niwao wameeleza katka kiapo chao, aya ya 11 walivyopata tangazo hilo.
SA Mayunge: Na katika kiapo chao hawajasema muda ulikuwa mfupi sio kwamba uliwazuia kutoa maoni na hawajasema chochote.
Na hatujua walalamikaji wanalalamika kwa niaba ya nani na hwapo hapa kwa niaba ya nani.
SA Mayunge: Waheshimiwa majaji wenyemaoni walikuepo japo hawakuwa wao na ndio maana waheshimiwa majaji katika aya ya 7 ya kiapo cha Maria kimesema watu 72 walitoa maoni.
SA Mayunge: Wale waliokuwa wanataka na wakatoa maoni, sasa haya maombi haya ni just speculations, na hata hawakushiriki kutoa maoni lakini wanalalamika.
Na hakuna hata malalamiko ya barua ya kuomba kuongezewa muda wa kukusanya maoni.
Jaji: kwahiyo unasema muda ulikuwa reasonable?
SA Mayung: it was duly saved, adequate and reasonable na waheshimiwa sasa ni wakati wa utandawazi mtu anaweza kutoa maoni yake popote kuputa barua pepe.
SA Mayunga: Waheshimiwa waliotoa maoni walitoka Mwanza, Arusha, na sehemu mbalimbali za nchi wote hao walitoa maoni yao.
Katika kanuni ya 108(2] ya Kanuni ya Bunge haikutoa kabisa suala la muda na kunasababu zake nitafafanua.
SA Mayunge: Waheshimiwa kwanin tuna tunasema muda ulitosha: ni Bunge lililohitaji maoni kutoka kwa watu.
BUSARA YA BUNGE; Bunge kwa busara zao waliona muda waliotoa unatosha kwa watu kutoa maoni yao dhidi ya Mkataba wa IGA.
SA Mayunge: WAHESHIMIWA suala la reasonable linategemea mazingira, umuhimu, uharaka na mengine mengi ngoja nitaje kidogo.
Suala la Reasonableness kwa masuala ya Bunge, mahakama kadhaa kutoka sehemu mbalimbali duniani zimejadili suala hili na tusiwe tofauti na mahakama zingine.
SA Mayunge: Naomba turejee Uamuzi wa Africa kusini Doctor for life .V. Speaker of National Assembly &Others katika ukurasa wa 70, paragraph 2.
Mahakama ilisema: reasonableness is…..(anasoma) kimsingi reasonableness inategemeana na mambo kadhaa.
SA Mayunge: Kwamba mahakama haiwezi kuipangia bunge. Kwamba Bunge ndio lilihitaji maoni na ndio linalojua kiwango cha ushirikishwaji wa wananchi na vile vile mahakama haitegemei kulibishia Bunge kuhusu reasonableness
SA Mayunge: Waheshimiwa hivyo masuala ya kutaka miezi sijui 6 kwa ajili ya maoni hiyo ni busara ya Bunge na si vinginevyo.
Jaji: Nani kasema miezi 6
Wadau: wanacheka 😂
Adv. Mpoki: Hizo ni imagination zake Waheshimiwa majaji.
—Sasa ni saa 14: 45 mchana Juli 26,2023 Majaji wanaingia,.. karani anataja namba ya kesi ambao ni kesi no.05/ 2023.
..Mahakama inakaa kwa utulivu kidogo huku majaji wakiandika.
#Kesi_Ya_Bandari.
Anasimama wakili wa serikali kuomba kuanza kujibu hoja za waleta maombi.
SA = wakili wa serikali
SA Mark : Waheshimiwa majaji
W: Serikalin: Mark; waheshimiwa majaji naomba mahakama iangalie vitu gani vinapaswa kuangaliwa katika kesi ya kikatiba.
Issue ya 1, 2 Edson atawalisha, issue 4,5 na 6 itawasilishwa na kalalokola, Edwin issue 3,
Waheshimiwa maombi yameletwa chini ya ibara ya 108(2) ya Katiba ya Tanzania na Kifungu cha 2(3) cha JALA Kutumia Originating Summons na kiapo
SA Mark: Kwa sasa tunaomba kibali cha mahakama tukufu ili majibu yetu na kiapo kinzani zitengeneze sehemu ya majibu yetu kinzani. Shauri hili linapinga uhalali wa kikatiba wa kutia sahihi na kuridhia mkataba wa kimataifa (IGA) baina ya nchi mbili. Tunawashukuru wenzetu kwa submission yao kwa sa babu kuna maeneo tunakubaliana nao mfano umuhimu wa kufuata na kuheshimu katiba. Waheshimiwa tumependezwa na wenzetu kutumia kitabu chenye maandiko ya Samata J” kitabu cha Rule of Law Vs. Rulers of Law: kuishi kwa kufuata utawala wa katiba ni wokovu na sio utumwa. Tunaamini wananchi wote wanakubaliana kwamba lazima tuishi kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
SA Mark:
Waheshimiwa majaji Katiba hii niliyoishika imeipa mahakama jukumu kubwa chini ya ibara ya 107A kama chombo cha juu cha utoaji haki. Anasoma kifungu husika (107A). Nachojarubu kusema hapa: Katika kutoa haki mahakama inapaswa kufuata sheria.
Kazi kubwa ya mahakama ni kufanya uamuzi kudetermine kama kitendo kilichofanywa na serikali kinavunja Katiba yetu ya Tanzania. Kazi kubwa ya mahakama ni kufanya uamuzi kudetermine kama kitendo kilichofanywa na serikali kinavunja Katiba yetu ya Tanzania.
SA Mark:
Na ili mahakama ifanye hivyo inapitia pleadings zote zilizoletwa na kuangalia kama imepita Threshold ya kuthibitisha kesi ya kikatiba. Na hiki hakiwezi kufanyika ikiwa waleta maombi hawataleta kifungu cha katiba kilichokiukwa na kuonyesha kiasi gani kifungu husika kimekiukwa. Waheshimiwa ni mahakama yenyewe imetamka hili katika maamuzi mbalimbali hivyo ni vizuri tulaweka msingi huo na ueleweke. Katika shauri la AG Vs Jeremiah Ntobesya. Rufaa ya madai, 65/2016 ukurasa wa 46 mpaka 47 mahakama wakati ikikubaliana katika shauri la KIKATIBA ilitamka.
SA Mark: Mahakama ilisema kama kuna vifungu vimekiukwa, Mahakama kuu inachukua vifungu vya sheria vinavyosemwa, unaviweka pamoja na Vifungu vya katiba ili kuona ubishani. Na mahakama haipitishi wala kulaani shauri lolote linalopitishwa na Bunge kazi yake ni kuangalia kama vifungu vinakiuka katiba.
SA Mark: Waheshimiwa majaji, Shauri hili halichallange kupitishwa kwa sheria iliyopitishwa na Bunge wanachallange makubaliano. Ni vema mahakama hii ikaendelea kutambua, wenzetu wameleta shauri hili chini ya ibara ya 108[2] wakisema mahakama inamamlaka ya mahakama ya kusikiliza yale yote yaliyoletwa. Hatuna ubishi kwenye ibara husika, pia kuna ibara 30(3] ya Katiba pia inaipa mahakama kusikiliza.
Wakili Mpoki anaweka pingamizi anasema: Waheshimiwa tushaamua kuhusu Mapingamizi na wameondoa jana na naona anafanya submission ya “PO” kana haina mamlaka tufunge mabegi yetu tuondoke.
SA Mark: Sio nia yangu kuongelea PO, nachotaka kusema: mahakama iangalie mazingira yote na kujiridhisha kwamba ibara ya 108 ni sahihi na kujiridhisha vifungu bishaniwi Waheshimiwa majaji, nilikiwa nasema ni wajibu wa mahakama kufanya maamuzi kwa Mashauri yanayoletwa chini ya ibara ya 108(2) ya Katiba ya Tanzania, 1977.
Adv. Mpoki: Basi naomba afute maneno yanayosema mahakama ina limited jurisdiction
SA Mark: Tunaomba muongozo katika hili, haya sio maneno yangu, ni naneno ya maamuzi ya mahakama ya rufaa. Yangekuwa yangu ningeyafuta Naomba muongozo
Jaji : PO zilishaamuliwa kwa hiyo tunaregard kama submission endelea
SA Mark: Ninani anayetakiwa kuthibitisha; anayetakiwa kuthibitisha katika shauri la kikatiba ni mleta malalamiko.
SA Mark: Katika shauri CHRISTOPHER Mtikila V. Ag. 1995 TLR 31Page 34 inasema: ukiukwaji wa katiba ni jambo kubwa lazima uwe na ushahidi wa hakika
[7/26, 15:30] Wakili Livino Ngalimitumba: Pia katika kesi ya Center for Strategic litigation & Another Vs. AG and Anather page 40-41, Mahakama kuu ilikuwa na haya ya kusema; Pamoja na ku-cite kifungu cha katiba, ni lazima kusoma kifungu cha katiba kilichokika na namna kilivyoathiriwa na kinatakiwa kuwekwa kwa namna haina shaka.
SA Mark: Shauri ishengima, Francis ndyanabo Vs. AG ,2004 page 14 inasema: (Quite): kimsingi wanaongelea kwamba Kila kifungi cha katiba kinauhalali na yule anayesema kifungu kinamnyima haki lazima afanye hivyo. Tunaiomba hii mahakama isiamue kama IGA inavunja sheria zetu za ndani. Naomba nimkaribishe msomi Kalokola kwa mawasilisho.
—Sasa ni zamu ya wakili wa serikali Kalokola.—
SA = kifupisho cha wakili wa serikali.
SA Kalokola:
Waheshimiwa nitajielekeza kwenye hoja namba 4 iliyotengenezwa na mahakama on where IGA is a contract. Nitajikita na kuongozwa na vitu vifuatavyo: MONTEVIDEO CONVENTION ON THE RIGHTS AND DUTIES OF STATE, Pia VIENA CONVENTION ambayo iliridhiwa na Tanzania, pia nitaongozwa na Mkataba wenyewe. Nitarejea Katiba ya Tanzania, 1977 toleo 2005 na mwisho nitaelezea Katiba ya umoja wa Falme za kiarabu katika kujibu hoja husika. Na mwisho kabisa hati ya madai ya walalamikaji. Waheshimiwa Majaji, kwenye ground ya kwanza walalamikaji wamuita as International agreement. Na ukienda kwenye maombi yao wanautambua kama International Agreement. Na walalamikaji wakatupa ushahidi wao.
SA Mark:
Katika aya ya 5 wanasema, mjibu maombi wa pili ni Waziri amesaini mkataba wa Kimataifa. Kwa hiyo mpaka sasa walalamikaji wanautambua kama mkataba huu ni mkataba wa kimataifa. Hoja inayofuata; Je Mkataba wa kimataifa unaongozwa na sheria zipi; kujua mkataba wa kimataifa unaongizwa na sheria zipi nitataja sheria za kimataifa. Nitaanza na VIENA CONVENTION 1966 ambapo Tanzania ni mwanachama baada ya kuridhia. Ibara ya 2(a) Viena Convention on laws and treaties inajibu tafsiri ya Mkataba wa kimataifa. Unaposema mkataba ni wa kimataifa Tambua kwamba mkataba huo utasimamiwa na sheria za kimataifa. Mkataba huu uliingiwa na Nchi mbili Emirate of Dubai na Tanzania kama mkataba wa Kimataifa. Wakili Mwabukusi alijikita katika kuridhiwa kwa Mkataba na katiba ya kiswahili inatumia neno Mkataba ibara 63(3)e ya Katiba inatumia neno:
SA Kalokola:
Wakili Mwabukusi alijikita katika kuridhiwa kwa Mkataba na katiba ya kiswahili inatumia neno Mkataba ibara 63(3)e ya Katiba inatumia neno: Bunge linaweza kuridhia mikataba. Sheria ya kimataifa huu mchakato wa ibara ya 63(3)e ni mchakato unaoitwa ratification of International agreement. Ibara ya 2b ya Viena Conv,1966 inazungumzia ratification hivyo mkataba huo IGA inatakiwa kupitia mchakato wa kuridhiwa kama ibara ya 63(3)e ya Katiba ya Tanzania. Ilikujua hadhi ya mkataba huu, ibara ya 25(2) ya IGA inasema hivi
(Quote): Serikali za nchi mbili ndani ya siku 30 baada ya kusainiwa unahalalisha bindingness under international law. Kila mhusika kwa taratibu zake na sheria za ndani ufanye ratification ili uwe na hadhi ya sheria za kimataifa Na ndio sababu ya IGA kupelekwa Bungeni. Na ndio maana mbele yenu kunamalalamiko ya namna IGA ilivyoridhiwa. Baada ya kusema hayo, hoja yangu ni kwamba IGA ni Mkataba wa kimataifa uliopitia mchakato wa 63[3]e ya KATIBA
Jaji: kwani issue ilikuaje?
SA Kalokola: issue ilikuwa whether IGA is contract
Jaji: wewe umejibu vipi?
SA Kalokola: IGA is international agreement
Wadau: Miguno kidogo.
SA Kalokola:
Na sheria za ndani hazina nguvu dhidi ya mikataba ya kimataifa [7/26, 16:03] Wakili Livino Ngalimitumba:
Waheshimiwa hoja ya pili kuhusu Capacity to contract. Mwabukusi alitumia ibara 103 ya katiba ya umoja wa falme za kiarabu na ibara ya kwanza alitumia Montevideo convention. Vile vile alitumia ibara ya 123 ya katiba ya Dubai kusema Emirate inauwezo au la kuingia kwa mkataba. Nianze na Ibara ya 123 ya Katiba ya Emirate inasema (Quote) inaorodhesha mambo ya muungano kuhusu members of Emirate wanaweza kufanya makubaliano na nchi zingine. Ibara hii inazungumzia suala la foreign relation kwenye mambo yao ya muungano ni jambo la muungano
SA Kalokola:
Hoja ya kujiuliza ni kwamba je mkataba huu umeingia in capacity of Foreign investment au international investment: Mkataba huu IGA unahusisha masuala ya uwekezaji ndio maana wanasema muwekezaji anapewa vyote.
SA Kalokola:
Ibara ya 116 ya United Arabs Emirates inasema the Emirates shall exercise all powers not assigned to this Constitution nineno lililotumika kwa mambo ya muungano na mambo yasiyo ya muungano: Ni sawa na katiba yetu kuhusu zanzibar na Tanganyika kuna mambo ambayo sio ya muungano ambayo nchi zinatekeleza.
Jaji: Neno shall kule Dubai lina context sawa na huku
SA Kalokola kwa context ya Tanzania shall ni lazima kwa upande wao sijajua
Jaji: ndio utuambie sasa
SA Kalokola:
Mh Jaji nachotaka kusema parties are competent to contract Kwa mujibu wa sheria zao Waheshimiwa kwenye hoja hiyo, ninawajibu wa kusema kuhusu Katiba yetu, wajibu wa mahakama hii ni kutafsiri sheria zetu na DUBAI Pia mahakama yao ndio chombo cha kutafsiri katiba yao
SA Kalokola:
Nilikuwa natarajia kwamba wenzetu kama wanataarifa kuwa mahakama ya Dubai imetamka kwamba kitendo cha DP WORLD kuingia makubaliano na sisi kimevunja sheria zao.
Na mwisho waheshimiwa; Katika shauri la TLS vs. Ministry of Foreign Affairs of International & AG, Cause 23/2014 mahakama hii ilipata nafasi ya kujadili hili.
[7/26, 16:25] Wakili Livino Ngalimitumba:
Katika ukurasa wa 29 aya ya [1] ya Viana Convention. Kwamba kama mkataba umesainiwa….. (Quote). Mahakama inatuambia kukiwa na mgogoro kati ya wadau wa mkataba au mtu wa tatu, utatuzi unapaswa kufanyiwa katika mabaraza ya kimataifa.
Ibara ya 66 (a) ya viena convention inatoa namna ya usuluhishi wa migogoro ya mikataba ya kimataifa katika mabaraza ya kimataifa kwa usuluhishi.
SA Kalokola:
waheshimiwa nasema mkataba wa kimataifa una International Forum za utatuzi wa migogoro na sio sheria zetu za ndani kama sheria ya mkataba sura 345. Subsequent project will be governed by our domestic law waheshimiwa kama ibara ya 21 ya IGA.
Jaji anatoa amri kwamba kwa maslahi la afya zetu, na watu kusimama muda mrefu kesi hii itaendelea kesho asubuhi saa 09:00.
Kesi inaendelea siku ya pili Tarehe 27 Julai 2023, mawakili wa serikali wataendelea na majibu yao.
—-Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.
MAWAKILI WA SERIKALI;
1. Adv. Mark Muluambo
2. Edson Mwaiyunge
3. Alice Mkulu
4. Stanley Kalokola
5. Edwin Lwebilo
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;
1. Mpale Mpoki
2. Boniface MWABUKUSI
3. Philip Mwakilima
4. Livino Ngalimitumba
Anasimama wakili wa waleta maombi senior adv. Mpoki.
Adv. Mpoki:
–Iwapendeze Waheshimiwa majaji tupo tayari kuendelea kwa utaratibu ufuatao. Nitatoa utangulizi na kuongelea kiini Na.2
Wakili Mwabukusi atazunguzmia issue no. 1 na 4. Msomi Livino atazungumzia issue na. 3 na Msomi mwakilima atazungumzia issue no.5
Bado anaendelea senior Mpoki.
Adv. Mpoki Naomba nianze kwamba maombi haya yameletwa na walalamikaji 4 ambao wapo mbele yenu kwa mujibu wa ibara 108(2] ya Katiba ya Tanzania. Inayoipa mahakama mamlaka ya pekee katika shauri hili.
Pia kifungu cha 2[3] Cha JALA
Vifungu hivi vinaipa mahakama kusikiliza shauri hili.
Pia kuna kiapo cha tar 26 June 2023 kilichoapwa na waombaji vile vile Originating Summons ambayo naomba ku adopt kuwa sehemu ya mwenendo
[7/26, 09:35] Wakili Livino Ngalimitumba: Katika Originating Summons waombaji wanaomba vitu vikubwa 9 ambavyo vipo ukurasa wa 5 mpaka 6 wa maombi ya waombaji
Anaendelea senior Mpoki kwamba Kwanza ni tamko kwamba kitendo cha mjibu maombi wa pili kupeleka mkataba kati ya Tanzania na Dubai uliohusu rasilimali za Tanzania bila kushirikisha wananchi na kupitishwa bungeni ilikinzana na ibara 1,8,18(d), 21[2] 27 ya katiba ya Tanzania 1977, Na kifungu kifungu 11[1][2][3] na kifungu cha 12 cha sheria ya mali asili, sheria na. 5 ya mwaka 2017.
Anaendelea wakili Mpoki kwamba; Vile vile mkataba huo unavifungu 6(2) 7[2], 23[4] kinaathiri Usalama wa nchi, uhuru wa nchi na kuhatarisha usalama wa rasilimali za nchi kwa kuwa inakinzana na ibara ya 1,8,18(d) 28 ya Katiba ya Tanzania.
Adv. Mpoki: Vile vile mkataba haupo wazi kuhusiana na muda, haina kadimio (consideration) kama ambavyo inatakiwa na kifungu cha 25 cha sheria ya mkataba, haielezi limitation ya maeneo ya uwekezaji.
Adv. Mpoki: Jambo la nne, Mkataba huo haukufuata sheria ya Manunuzi ya mwaka 2022 Vile vile kitendo cha bunge kuridhia mkataba ilikuwa kinyume na sheria. Waombaji wanaomba kwamba mahakama itoe tamko kwamba bunge lilifanya makosa kuridhia kinyume na sheria za nchi.
Anaendelea senior Mpoki kwamba; Mkataba huu vile vile haukuhusisha kikamilifu ushirikishwaji wa wananchi. Na kwamba waleta maombi Wanaomba tamko la mahakama kwamba vifungu vyote vinavyoathiri usalama wa taifa, rasilimali za nchi na uhuru wa nchi. Viondolewe.
Adv. Mpoki: Na baaada ya hapo upelekwa mkataba ambao utakuwa na manufaa kwa wananchi, upelekwe kwa Wananchi na baadae uridhiwe na Bunge kwa mujibu wa sheria. Katika kushawishi mahakama hii tutatumia
1. Katiba ya Tanzania, 1977
2. Sheria ya Manunuzi, iliyorejewa 2022
3. Kanuni za Bunge 2022
4. Sheria ya Mkataba sura 345
5. Sheria ya ufafanuzi wa sheria sura Na .1
6. Katiba ya umoja wa falme za kiarabu ya mwaka 1996
7. Viana convention 1966
8. Montevideo convention on rights and duties of state
9. Natural Wealth, sura 6 ya mwaka 2017
10. Natural Wealth, Sura na.5 ya 2017
11. Tutatumia Hukumu za mahakama za ndani na mahakama za nje mbalimbali kushawishi mahakama
11. Tutatumia maandiko ya maandishi nguli ya sheria ambayo yameandikwa kuhusiana na masuala yanayobishaniwa
12. Tutatumia taarifa rasmi za bunge (Hansard)
Adv. Mpoki: Baada ya kusema hayo naomba nianze na issue na. 1. On whether the public were notified and given reasonable time to participate
Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, IGA ilisainiwa tar 25.10.2022. na chini ya ibara ya 25[2] wahusika walikubaliana kwamba mkataba huu upate ridhaa ya mahakama au bunge ili uwe na nguvu ya kisheria
Kwa takwa la kifungu hiki, Mlalamikiwa na 4 mnamo tar 5.june 2023 saa saba mchana alitoa taarifa kwa umma kutaka umma ufike kwa ajili ya public hearing kesho yake 6.june 2023[ masaa 24) tu. Masaa 24 tu wananchi walitakiwa kwenda ukumbi wa msekwa bungeni kutoa maoni. Tangazo hilo halikuambatana na Mkataba wa IGA hivyo wananchi waliombwa kutoa maoni kwenye kitu wasichokijua.
Adv. Mpoki: Logic ni kwamba hilo tangazo lilipaswa kuambatanishwa na mkataba wa IGA hicho hakikufanywa.
Adv. Mpoki: Mbili, Kutoa tangazo kwenye mtandao sio njia sahihi kuwafikia watu wengi kama Taifa. Na masaa 24 waheshimiwa majaji, ni muda mfupi wa wananchi kuona Tangazo, kutafuta mkataba IGA, KUsoma, kuelewa na kwenda kutoa maoni Bungeni dodoma Ukizingatia walalamikiwa walikuwa na mkabata tangu October na wao wamekaa na mkataba miezi 8 halafu wananchi wanapewa masaa, 24 tu. Sio sahihi.
Adv. Mpoki: Bahati nzuri , wakati wanajibu kiapo cha waombaji katika paragraph ya 5 na 6 cha kiapo cha Maria, mjibu maombi anakubali kweli tangazo lilitolewa tar. 5 June 2023 kwa kutumia media platforms, Hawajasema hizo media ni zipi na wanakubali kwamba hawakuweka Mkataba wa IGA na waliita watu kwenda kuangalia Mkataba. Hili ni kosa kubwa kwa wajibu maombi.
Adv. Mpoki: Katika aya ya 7 ya majibu yao wamesema watu 72 walitoa maoni yao kati ya watu milion 60 kuhusu rasilimali zao. Tunaomba mahakama ijue kwamba kutokea kwa watu 72 ni kutokana na muda mfupi waliotoa ila wangepewa miazi miwili au mitatu tungepata response kubwa sana. Kwenye majibu yao, wameonyesha waty 72 ya waliotoa maoni na majina yao. Nadhani hii haitoshi kuwa shahidi kwa kuwa hakuna kiapo cha hao watu 72. Hakuna kiapo chochote katika mahakama hii kitu ambacho ni jambo la kusemekana na sio halisi pale ambapo hakuna kiapo.
Waheshimiwa majaji Katika kesi Diana Rose Spare part ltd v commissioner General of TRA,Kesi Na.245/20/2021 katika ukurasa wa 9 Mahakama ilisema: Kama kuna nyaraka imemtaja mtu, mtu husika lazima ale kiapo kuhusu nyaraka husika. Kanuni ni kwamba; unapoandika kiapo na unamtaja mtu mwingine, yule mtu mwingine lazima atoe kaipo kinyume na hapo kiapo husika hakitakiwi kutambulika na mahakama.
Anaendelea Mpoki: Wahemshimiwa, Notice inazungumziwa Katika Kanuni 108[2][Quote as its) lengo la notice ni kusaidia katika uchambuzi wa Mkataba husika. Uchambuzi ni vitu hivi tunaongea sasa hivi, kama nafasi ingekuwa kubwa tusingekuwa hapa mahakamani. Waheshimiwa naomba tusome kesi; supreme court of UK kuhusu umuhimu wa NOTICE. REPORTED in textimile.Law report ya uingereza. Nianze kwa kusema Notice is a process ambayo anayetakiwa kutoa ushauri anapaswa kjelezwa kitachozungumzwa, apewe muda wa kutosha, aruhusiwe kushiriki na hata maoni yake yanapaswa kuonyeshwa. Waheshimiwa Mkataba huu unahusu, sea port, lake port na economic zone na inahusisha maeneo yote ya nchi na ilipaswa kuwahusisha watu wa kanda za maziwa katika hili. Na ushirikio ulikuwa muhimu kwa sababu wao ni wadau katika rasilimali zao. Na ushirikishwaji kwa wataoathirika ni sehemu ya Haki ya asili. Bila kuzingatia kanuni ya haki ya asili ni kitendo kibaya na wananchi hawakuhusishwa. Hivyo ni rai yangu kwamba wananchi hawakuhusishwa, hawakupewa muda na tunaomba mahakama iseme au itamke kwamba kitendo hiki ni kitendo batili.
Anamaliza senior Mpoki sasa anamkaribisha wakili Boniface Mwabukusi ili aendelee kuwasilisha hoja.
Sasa ni zamu ya wakili Boniface Mwabukusi.
Adv.Mwabukusi: nitawakilisha issue na.1 kwa idhini yenu naomba kuzungumza issue Na4. Na 5 kwa pamoja. Waheshimiwa majaji, nitaongozwa na sheria ya utafsiri wa sheria[Cap1 RE2019) kifungu cha 25(1][2]ambavyo kifungu cha 1 kinasema; Utangulizi katika sheria ni sehemu ya sheria na itakusudiwa kwamba ni sehemu inayochagiza kusudio na lengo la Sheria. Kifungu 2 kinasema: Jedwali katika Sheria pamoja na Notice inatengeneza sehemu ya Sheria.
Adv. Mwabukusi:
Waheshimiwa; nikijikita katika sababu ya kwanza; naomba mahama iende kwenye Utangulizi wa Natural Wealth and Resources, Sura 5 ya 2017 katika paragraph ya 1 na 2 Paragraph ya 1: inahusu msingi mkuu wa malengo na maelekezo ya kisera katika ibara ndogo ya 1 ya sura 5 na ibara ya 9(f) ya Katiba ya Tanzania inatambua mamlaka ya umma. Na kupitia umma huo, serikali itapata nguvu na mamlaka kutoka kwa watu na huku msingi mkuu ikiwa ustawi wa watu. Na paragraph ya 2 inaeleza kwamba; sheria za kimataifa zinatambua haki yetu ya jamhuri katika permanent sovereignty ya kufaidi, kutumia maliasili yake.
Adv. Mwabukusi:
Waheshimiwa, naomba msome ukurasa wa 4, paragraph 4 inaeleza Mamlaka na nguvu ya watu ya kuhakikisha kwamba mipango yote, makubaliano yote yanalinda maslahi ya watu na jamhuri yetu. Ukurasa huohuo, paragraph 5, inaeleza kusudio la kuweka sheria madhubuti ili kuhakikisha umiliki, udhibiti wa Rasilimali asili na kulinda ukuu wa nchi kuhusiana na mali asili zake.
Adv. Mwabukusi:
Waheshimiwa majaji, kifungu cha 11 (1][2]cha sheria( Natural Wealth, Sura na 5) Kifungu kinasema kwa mujibu wa ibara 27(1] ya Katiba ya Tanzani, 1977 kinasema; ukuu wa nchi katika rasilimali zake utahakikisha migogoro yote ya maliasili haitapelekwa kwenye mahakama au mabaraza ya kigeni.
Adv . Mwabukusi:
Kifungu cha 11[2] kinaeleza: kwamba migogoro inayotokana na suala la rasilimali zetu itaamuliwa na mahakama au chombo chochote kilichotebgenezwa kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Kifungu hiki kinakataza kabisa masuala ya maliasili ya taifa letu kusikilizwa na kuamuliwa na sheria za kigeni na mahakama za kigeni.
Adv. Mwabukusi:
Waheshimiwa majaji, wakati mkitafakari kuhusu ukuu wa nchi(Sovereignty) naomba muende kwenye jedwalli la pili la sheria. Imeweka mamlaka ya nchi kuhusu usimamizi, Uratibu na kuweka haki ya nchi kutokulazimika kupitia mkataba kufanya jambo linaloathili ukuu wa nchi(Sovereignty)
Adv. Mwabukusi:
Sheria ya pili ni Natural Wealth, Sura Na.6 ya Mwaka 2017. Katika kifungu cha 5(1] cha sheria hii kinatamka: kwamba mipango yote, au makubaljano katika masuala ya rasilimali za nchi ndani ya siku 6 kuripotiwa katika Bunge la JMT
[7/26, 10:53] Wakili Livino Ngalimitumba:
Waheshimiwa kifungu cha 6(2] cha sheria husika kinatamka; makubaliano yapi yatakuwa na utata. Kifungu cha 6(2)[a) kinasema; kuhusu ukuu wa nchi katika utajiri wake na rasilimali zake za nchi
[7/26, 10:55]. Kifungu cha 6(2)[e] (quote as it is)
[7/26, 10:57]. Kifungu cha 6(2)[i) quote as its
Adv. Mwabukusi: Waheshimiwa majaji kwa ufupi, vifungu hivi vinaeleza kwamba kama mkataba utakuwa na changamoto dhidi ya ukuu wake (Sovereignty) kama unapendelea wawekezaji wa nje na kuzipa nguvu sheria husika, maana yake mkataba huo ni tata.
Adv. Mwabukusi;
Waheshimiwa majaji wakati mkiangalia hoja yetu katika hili, naomba muone annexture A2, ukurasa wa 5 utangulizi “J” Isomwe pamoja na ibara ya 2(1) ya Mkataba wa IGA Kwamba lengo la wahusika katika huu mkataba walitaka uwe Binding. Ukiangalia Utangulizi wa IGA, Paragraph a, b, na c zinazoonyesha kwamba; Mchakato huu ulianza tar 28 February 2022. Na climax, mwisho ilikuwa tar 25 October 2022 lakini kinyume na matakwa ya sheria inavyotaka ikapelekwa katika kikao cha 45 cha Bunge cha tar 10 June 2023. Kifungi kingine kinachohatarisha ukuu wa nchi ni ibara ya 4(2] Ambayo inatusubject taifa kama massanger.
Adv. Mwabukusi:
Kifungu hiki kinaondoa ukuu wa nchi katika kufaidi rasilimali za nchi kama sheria zote mbili nilizotaja hapo juu na kuipa Dubai mamlaka Quote ibara 4(2). Kifungu hiki 4(2) kinainyima nchi yetu kuachana na haki ya kutafuta fursa kwingine zaidi ya Dubai hivyo kukinzana na sheria zote nilizotaja hapo juu.
Adv. Mwabukusi: Waheshimiwa ibara ya 21 ya IGA, inakinzana na Sovereignty ya nchi yetu.
Wakili wa serikali: Mh. Judge wakili Mwabukusi alisema anadeal na issue na moja lakini anasubmit tofauti na issue zingine.
Adv. Mwabukusi: waheshimiwa majaji mimi nazungumzia process nzima ya ratification na kutaja vifungu ambavyo mahakama ivitazame kwa kina. This is my floor.
Jaji: mkataba wa IGA inavifungu ndani yake na Mwabukusi anatualika mahakama kuvitazama vifungu husika nadhani tuendelee
Adv.Mwabukusi:
nimesema masuala ya utatuzi wa migogoro ya rasilimali za nchi kwa kutumia mahakama za ndani na sheria za ndani. Lakini kifungu cha 21 kimeondoa hayo mamlaka. Kifungu cha 23[4] cha IGA kinaondoa kabisa ukuu wa nchi [sovereignty ) katika kujiondoa au kushiriki na wengine. Hivyo kinakiuka ulinzi wa rasilimali za nchi yetu. Waheshimiwa nitajikita katika issue 4 na 5 kwa pamoja. Swalii ni je IGA ni mkataba au mazungumzo ya kawaida? Kwakile kilichojili katika kikao cha 45 cha bunge cha tar 10.06 2023, Waziri wa ujenzi na uchukuzi aliwasilisha Bungeni azimio kuhusu pendekezo la kuridhia mkataba.
Adv. Mwabukusi:
Waheshimiwa majaji hili suala halijabishaniwa na upande wa pili katika majibu yao. Tutawasilisha kwamba mkataba huu hauna sifa za kisheria za kuwa mkataba. Nitazungumza maeneo mawili Waheshimiwa:
1. Kifungu cha 25 cha sheria ya mkataba, Sura 345. Mkataba huu unahusu uwekezaji lakini haujaambatishwa na nyaraka yoyote au kifungu chochote kjnachoonyesha, huyu DP WORLD anawekeza kiasi gani. Hata kwenye appendix,1 ya IGA katika phase 1 ya project. Hakuna kjnachoonyeshwa anawekeza nini au kiasi gani zaidi ya kueleza kitu anachopewa. Hiki ni kinyume cha kifungu cha 25 cha sheria ya Mkaba, Sura 345. This is serious illegality juu ya uhalali wa Mkataba.
Adv. Mwabukusi: Waheshimiwa majaji: kuhusu Capacity/ Competence to contract. Kifungu cha 11[1][2] cha sheria ya Mkataba (Quote)
…
Is not disqualified from contracting by any law( maneno kwa uzito)
Waheshimiwa, Ibara 123 ya Katiba ya umoja wa kiarabu (Quote) kinaeleza bayana kwamba: mshiriki wa umoja wa kiarabu atathibitisha makubaliano na nchi nyingine na makubaliano husika kama hayata kinzana na maslahi ya umoja.
Waheshimiwa majaji DP WORLD hawana capacity to contract na hakuna instrument yoyote ambayo DP World imeruhusiwa na umoja wa kiarabu kufanya makubaliano na Tanzania.
Ibara ya 1 ya Montevideo Convention inatoa sifa ili nchi uweze kutambukika kufanya makubaliano ikiwemo kuwa na uwezo wa kufanya makubaliano kama nchi. Kitu ambacho DUBAI haina hiyo capacity.
Anaendelea wakili Mwabukusi kwamba; Waheshimiwa majaji, Katika kesi ya Day care Vs. Commercial bank Tanzania Ltd ukurasa wa 10 par 2 mstari wa pili. Kunamaneno yanasema. Ili mkataba kuwa na nguvu ya kisheria: free consent of the part, competent to contract and lawful consideration. Kwakua DP WORLD sio competent by virtue of Section 2,10,11(1] of the law of contract. Tunaomba muone kwamba mkataba huu unakosa sifa za kisheria. Na kukosekana kwa issue hizo kunathibitisha mkataba huu ni batili. Its void abuinitial.
Kwa mazingira haya tunaiomba mahakama yako tukufu kuuondoa mkataba huu. Anamaliza wakili Mwabukusi.
Sasa ni zamu ya wakili Livino.
Wakili Livino Ngalimitumba:
Adv. Livino:
Nitajikita katika Ukuu wa Katiba ya nchi dhidi ya huu mkataba wa IGA. Waheshimiwa majaji SAMATA J, katika kitabu cha Rule of Law vs Rulers of law, kilichoandikwa na Prof shivji na majamba katika ukurasa wa 128. Kwamba, kuishi kwa mazingatio ya katiba ya nchi hakutakiwi kuchukuliwa kama utumwa bali ni wokovu. Hii inamaanjsha mtu akiwa katika utumwa anapaswa kufanya bidii kujiondoa na akiwa katika wokovu yafaa asiondolewe au kuondoka hapo.
Adv . Livino:
Waheshimiwa majaji mkataba wa IGA umekiuka vifungu katika ibara ya 1, 8,28(1)(3) ya Katiba ya Tanzania. Kuna ikiukwaji wa moja kwa moja na ukiukwaji katika taathira ya utekelezaji wa mkataba wenyewe. Waheshimiwa majaji ibara 4[2) ya IGA Inayoeleza scope of cooperation na kutoa wajibu katika serikali ya JMT kuwa agent wa Dubai mwenyejukumu la kuifahamisha dubai kila fursa nyingine za bandari. Ili dubai iweze kuelezea utayari wake katika kuwekeza katika Tanzania. Huu sio wajibu rafiki kwani unaathiri sovereignty ya nchi yetu. Na pia inaondoa ukuu wa nchi yetu katika kutafuta wawekezaji bora zaidi ya Dubai wataoweza kufanya uwekezaji bora katika nchi. Tunaomba mahakama ione kwamba ibara husika ya IGA inavunja katiba na tunaomba mahakama itoe tamko kuwa inavunja katiba ya nchi.
Adv. Livino:
Ibara inaelezea wajibu wa watu wote, kuilinda nchi katika hali yoyote inayoonekana inayoathiri nchi. Waheshimiwa kutoa exclusive rights kwa DP WORLD ni kuikosesha nchi yetu kujilinda na kulinda rasilimali za nchi maana hakuna hata reservation rights.
Adv. Livino:
Ni maombi yetu kwamba mahakama ione kwamba kifungu 5(1) kinakiuka ibara ya 28 ya katiba ya Tanzania na ione kwamba hiyo ni sababu ya kubatilisha mkataba wa IGA.
Waheshimiwa ibara 6(2] ya IGA (Quote as its) serikali ya Tanzania imezuiwa constructively kuingilia sehemu ya DP WORLD hata kama kutakuwa na sababu za kiusalama basi wadau wote wawili wanatakiwa kuwa na uelewa wa pamoja
Adv. Livino:
Waheshimiwa majaji. Ibara hii inavunja ibara ya 28 ya katiba ya Tanzania na kwakuwa Katiba imetoa wajibu wa chi kama nchi huru na kifungu hiki ni kuifanya nchi iingie kwenye changamoto kubwa za kiusalama. Lakini pia kifungu husika kinatweza ukuu wa nchi (Sovereignty) katika kujilinda na kulinda Rasilimali za nchi. Waheshimiwa Ibara 8(1] a,b,c ya IGA, ibara 8[2], 10[1), 23[3][4], 26,27 inakiuka ibara ya 1,8 na ibara 28 ya Katiba ya Tanzania katika misingi ifuatayo;
Adv. Mwabukusi:
Waheshimiwa kwanza zinakusudia kuendekeza vitendo vya uvamizi kwa kutoa land rights kwa DP World Exclusively kinyume na ibara ya 28 ya katiba Tanzania. Pia inatoa mianya ya uvamizi wa misingi ya uchumi wa Tanzania kutokana na ubepari uliopo katika mianya ya uchumi. Tunaomba mahakama hii ione kwamba uandishi wa ibara 28 ya Katiba ya Tanzania inaposema wajibu wa kulinda nchi ni pamoja na kulinda mianya ya uchumi wake. Tunailika mahakama yako ione kwamba ibara ya .. ina prejudice haki ya watanzania waliopewa wajibu wa kushiriki katika masuala yanayowahusu. Sasa wananyimwa haki ya kufuatilia masuala yanayowahusu hususani Bandari na economic zone.
Adv. Livino:
Nawaalika kwamba ibara 23(3) ya IGA imeweka sharti gumu la termination of the contract na kunyima Tanzania kufanya maamuzi ya mipango ya maendeleo kwa watu wake hivyo kupoka sovereignty ya Tanzania. Ibara ya 26 na 27 ya IGA, Zinakiuka Katiba ya 28 Tanzania kwa kuifanya nchi yetu iwe subordinate kwa Dp world hivyo kuondoa ukuu wa Katiba Yetu.
Kwa mazingira hayo tunaomba mahakama kiubatilisha mkataba huu.
Anamaliza wakili Livino sasa anaingia Bwalya Philip Mwakilima.
Sasa anasimama wakili Philip Mwakilima.
Wakili Mwakilima anatajikita katika issue na.6.
WAKILI MWAKILIMA;
Waheshimiwa majaji, kifungu cha 64 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma kinaweka sharti wakati wa kutoa Zabuni (tender), takwa la lazima kwamba Tenda yoyote inayotolewa kwa ushindani. Sheria imetumia neno ‘Shall.’
Lengo lake ni kupata the highest evaluated profit. Pia inataka kupata mzabuni (capable), pia sababu nyingine ni kuleta usawa kwenye soko la uwekezaji. Takwa la lazima kwamba Tenda yoyote inayotolewa kwa ushindani. Sheria imetumia neno ‘Shall.’ Lengo lake ni kupata the highest evaluated profit. Pia inataka kupata mzabuni (capable), pia sababu nyingine ni kuleta usawa kwenye soko la uwekezaji.
Adv. Mwakilima:
Mkataba wa IGA kwenye Preamble imesema kwamba DPW walikabidhiwa Kazi za Uwekezaji bila kuonekana walishindanishwa na nani. Ibara ya 8 ya IGA inaeleza kwamba DPW amepewa kuendesha Bandari bila kushindana na wawekezaji wengine. Lakini tu kwenye Preamble para ya pili IGA inaeleza kwamba kulikuwa na mazungumzo ya watu wawili huko Dubai wakati wa ziara ya Rais Samia.
Adv. Mwakilima:
Waheshimiwa majaji, kwenye Preamble kuna maneno mengi ya kuipamba DPW kwamba ni kampuni bora. Lakini haijasema alishindanishwa na nani ili kumpata DPW kuwa bora zaidi ya wengine. Uandishi huo wa Preamble inaonyesha kama walitangaza Tenda Dunia nzima, hata hivyo hawajasema ni makampuni mangapi yaliomba Tenda hiyo.
Adv. Mwakilima:
Waheshimiwa Majaji, malengo ya kutangaza Tenda yamewekwa na sheria lakini DPW walipewa Tenda bila kufuatwa matakwa ya kisheria. Na Bunge letu chini ya Ibara ya 63(3)(e) walibariki. Mchakato huu kimsingi si tu ulikiuka Sheria ya Manunuzi, bali pia hata umevunja Katiba ya Tanzania. Kifungu 64(2) ya Sheria ya Manunuzi, inaeleza juu ya mambo ya uharaka/dharura yanayokubaliwa. Hakuna kiapo cha Wajibu Maombi kinachosema kwamba walitoa Tenda kwa DPW kwa sababu ya mambo ya dharura.
Adv. Mwakilima:
Waheshimiwa majaji, Kifungu cha 3 cha Sheria ya Manunuzi ambacho ni Interpretation Provision inaeleza tafsiri ya neno Tenda. Mkataba huu wa DPW ni Tenda for life. Anamaliza wakili Mwakilima kwa kusema anaomba mahakama kubadilisha mkataba huu kwa hoja alizozitoa. Na kwamba bunge lilidhia mapungufu ya mkataba huu na sasa tegemeo lililobaki ni mahakama pekee.
Anamaliza kuwasilisha hoja wakili Mwakilima. Na huo ni mwisho wa hoja za waleta maombi au wananchi wanaopinga mkataba wa bandari.
Jaji anatoa amri kwamba sasa ni saa saba kamili mchana, mahakama inaenda break na itaendelea baada saa 14: 30 mchana.
Baada ya kuendelea itakuwa ni zamu ya mawakili wa serikali kujibu hoja. fuatilia sehemu ya pili
INTERNATIONAL CENTER FOR SETTLEMENT OF INVESTMENT DISPUTES (ICSID) ni kituo cha kimataifa kinachohusika na suluhisho la migogoro ya uwekezaji. ICSID ni sehemu ya Benki ya Dunia na ina jukumu la kusimamia na kusuluhisha migogoro ya kibiashara inayohusisha uwekezaji kati ya nchi wanachama na wawekezaji wa kigeni.
ICSID ilianzishwa na Mkataba wa Kimataifa wa Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID Convention) ambao ulianza kutumika mnamo 14 Oktoba 1966. Lengo kuu la ICSID ni kutoa jukwaa la kuaminika na la haki kwa suluhisho la migogoro ya uwekezaji ambapo pande zinazohusika ni serikali na wawekezaji wa kigeni.
Migogoro ya uwekezaji inaweza kutokea wakati serikali inachukua hatua ambazo zinaweza kuathiri haki za wawekezaji wa kigeni au inakosa kutekeleza ahadi zake za kimataifa kuhusu uwekezaji. Katika kesi hizi, wawekezaji wanaweza kupeleka madai yao kwa ICSID ili kusuluhisha kwa njia ya amani. Mfumo wa ICSID unajumuisha utaratibu wa usuluhishi ambapo kesi zinasikilizwa na kutolewa uamuzi na jopo la wataalamu huru.
ICSID imesaidia kutatua migogoro mingi ya uwekezaji duniani kote na ina jukumu muhimu katika kukuza usalama na uhakika wa wawekezaji wa kigeni. Kupitia mkataba wake, ICSID inaunda mazingira ya kuaminika na ya haki ambapo pande zinazohusika zinaweza kutatua migogoro yao kwa njia ya amani na kwa mujibu wa sheria za kimataifa za uwekezaji.
TUANZIE HAPA KWANZA
[12:53, 24/07/2023] Es: Je Nchi yetu imewahi kushinda kwenye Migogoro ya aina hii?
[12:55, 24/07/2023] K: Swali hili sasa..
[12:59, 24/07/2023] G: Kwanini tusitengeneze mikataba makini ya kimataifa kuepusha maumivu kwa nchi? Kwa nini tufikie kwenye migogoro ya kimkataba, while tunauwezo wa kupitia mkataba na kuuchanganua kabla ya kupitishwa?
[13:07, 24/07/2023] T: Ndio dada @E .Tanzania imepata mafanikio katika baadhi ya migogoro ya uwekezaji. Kama ilivyo kwa nchi nyingine, kesi za migogoro ya uwekezaji zinaweza kufuatiliwa na kutatuliwa katika vyombo mbalimbali vya kisheria na usuluhishi. Tanzania imekuwa ikishiriki katika mchakato wa kushughulikia migogoro ya uwekezaji kupitia njia hizo.Nakumbuka mifano michache ya migogoro ya uwekezaji ambapo Tanzania imeweza kushinda wadau wengine wataongezea
1. Standard Chartered Bank Tanzania Limited v. Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO): Kesi hii ilihusu mzozo kati ya benki ya Standard Chartered na kampuni ya TANESCO kuhusu mkataba wa mikopo. Mwaka 2018, Mahakama Kuu ya Tanzania iliamua kesi hii kwa faida ya Standard Chartered Bank na iliamuru TANESCO kulipa madeni yake kwa benki hiyo.
2. Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) v. IPTL: Kesi hii iliibuka kutokana na mvutano kati ya TANESCO na Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuhusu mikataba ya umeme. Katika kesi hii, Mahakama iliamua kwa faida ya TANESCO, na IPTL iliondolewa kudai fidia ya dola milioni 561 kutoka TANESCO.
3. Malipo kwa Kampuni ya Kuchimba Madini ya Tanzanite One: Mwaka 2021, Serikali ya Tanzania ilifanikiwa kufikia makubaliano ya kulipa fidia kwa kampuni ya kuchimba madini ya Tanzanite One baada ya migogoro na mamlaka ya serikali kuhusu tozo za ushuru na kodi.
Nachojua mafanikio na matokeo ya migogoro ya uwekezaji yanaweza kutofautiana kulingana na hali ya kila kesi na taratibu za kisheria zinazotumika katika kushughulikia migogoro hiyo. Pia, kuna migogoro mingine ambayo inaweza bado inaendelea au inafanyiwa kazi kwa sasa ambayo inaweza kuwa haijafikia suluhisho la mwisho.
[13:12, 24/07/2023] E: Ahasante sana
[13:16, 24/07/2023] K: Je? Mafanikio hayo hayakuwa na hasara kwakuwa mkataba ulishakuwapo kabla?
[13:29, 24/07/2023] Es: Je Uwiano wa kushinda na kushindwa huko sawa madhara hii kwa Taifa ni nani? Mshabibashaji ni Nani? Je Mlipaji ni nani?
[14:46, 24/07/2023] T: Dada@Ei.. Mgogoro wa uwekezaji na matokeo yake, iwe kushinda au kushindwa, una athari kwa pande zote zinazohusika, yaani, serikali na wawekezaji.
1. Athari kwa Taifa (Serikali):
• Madhara ya Kushindwa: Ikiwa serikali inashindwa katika mgogoro wa uwekezaji na imetakiwa kulipa fidia au kufuata maagizo ya kimahakama, inaweza kuathiri bajeti ya nchi na rasilmali nyingine za serikali. Fidia kubwa inaweza kusababisha mzigo mkubwa wa kifedha kwa serikali na kuathiri miradi mingine ya maendeleo.
• Fursa za Uwekezaji: Migogoro mingi ya uwekezaji inaweza kusababisha wasiwasi na wasiwasi kwa wawekezaji wengine wanaotaka kuwekeza nchini. Athari hii inaweza kufanya wawekezaji wengine kusita kuwekeza au kuongeza hatari na masharti magumu katika mikataba yao.
2. Athari kwa Wawekezaji:
• Madhara ya Kushindwa: Wawekezaji ambao wameshindwa katika mgogoro wa uwekezaji wanaweza kupata hasara kubwa ya kifedha na wakati mwingine wanaweza kufilisika au kupata madhara makubwa kwa biashara zao.
• Fursa Zilizopotea: Wawekezaji wanaweza kupoteza fursa ya kuendeleza biashara zao au miradi ya uwekezaji kutokana na migogoro au kutokuwa na utabiri katika mazingira ya biashara.
Mshabibashaji ni mtu au kampuni ambaye ana jukumu la kusaidia au kusimamia mgogoro kati ya pande mbili zinazohusika katika migogoro ya uwekezaji. Kazi yake ni kusaidia kupatanisha na kutafuta suluhisho la mzozo ili kuepuka kufikia hatua ya kesi ya mahakama au usuluhishi wa kimataifa.
Mlipaji ni chombo, kampuni au serikali ambayo imeamriwa na mahakama au vyombo vingine vya usuluhishi kulipa fidia au kutekeleza uamuzi uliotolewa kwa niaba ya mwekezaji au upande ulioshinda katika migogoro ya uwekezaji. Mlipaji anaweza kuwa serikali au kampuni inayodaiwa kulipa fidia au kufuata maagizo ya mahakama au usuluhishi.
[14:51, 24/07/2023] Ta: KWA KUONGEZEA KAMA MDAU ULIVYOULIZA IN BOX kwamba Katika Kazia hii ni Kesi ngapi tumepigwa?
Tanzania imeshindwa katika baadhi ya migogoro ya uwekezaji. Kama ilivyo kwa nchi nyingine, kesi za migogoro ya uwekezaji zinaweza kuwa ngumu na matokeo yanaweza kutofautiana kulingana na hoja za pande zinazohusika, ushahidi, na mchakato wa kisheria. Hapa kuna mifano michache ya migogoro ya uwekezaji ambapo Tanzania imepoteza:
1. Dowans Holdings SA v. Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO): Kampuni ya Dowans Holdings SA ilikuwa inadai fidia ya dola milioni 65 kutokana na mgogoro kuhusu umiliki wa mitambo ya kuzalisha umeme. Mnamo mwaka 2013, kampuni hiyo ilishinda kesi hii katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) na Tanzania iliamriwa kulipa fidia.
2. Dowans Holdings SA v. Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO): Hii ilikuwa kesi ya uwekezaji ambapo kampuni ya Dowans Holdings SA iliwasilisha madai ya fidia dhidi ya TANESCO. Kesi hiyo ilikuwa inahusu mvutano kuhusu mamlaka ya serikali kusitisha mkataba wa kuzalisha umeme na Dowans Holdings. Mwaka 2018, Mahakama Kuu ya Kimataifa ya Usuluhishi (International Arbitration Tribunal) iliamua kwa faida ya Dowans Holdings na ilitoa uamuzi wa kulipa fidia kwa kampuni hiyo.
3. Richmond Development Company Limited v. Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO): Katika kesi hii, Richmond Development Company Limited, kampuni ya uwekezaji, ilishtaki TANESCO kwa kuvunja mkataba wa kuzalisha umeme. Mwaka 2017, Mahakama Kuu ya Kimataifa ya Usuluhishi iliamua kwa faida ya Richmond Development na ilitoa uamuzi wa kulipa fidia kwa kampuni hiyo.
4. Border Timbers Limited v. Tanzania: Border Timbers Limited, kampuni ya Zimbabwe, ilifungua kesi dhidi ya serikali ya Tanzania kwa madai ya kukiuka Mkataba wa Uwekezaji na Mkataba wa Kuzuia Ubaguzi. Mwaka 2015, Border Timbers ilishinda kesi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi.
5. Biwater Gauff (Tanzania) Limited v. Serikali ya Tanzania: Kampuni ya Biwater Gauff ilishtaki Serikali ya Tanzania kuhusu mkataba wa usambazaji maji jijini Dar es Salaam. Mnamo mwaka 2008, kampuni hiyo ilishinda kesi hiyo katika ICSID, na Tanzania iliamriwa kulipa fidia ya dola milioni 11.8.
6. Stanbic Bank Tanzania Limited v. Serikali ya Tanzania: Benki ya Stanbic ilishtaki Serikali ya Tanzania kuhusu mvutano wa kodi na masuala ya kibenki. Mnamo mwaka 2016, Mahakama ya Kimataifa ya Biashara (ICC) iliamua kwa faida ya Stanbic Bank, na Tanzania iliamriwa kulipa fidia.
7. James Rugemalira na VIP Engineering v. Serikali ya Tanzania: Mfanyabiashara James Rugemalira na kampuni yake ya VIP Engineering walishitaki Serikali ya Tanzania kuhusu madai ya uvunjaji wa mkataba na kudai fidia. Kesi hii ilitatuliwa nje ya mahakama na Serikali ilikubali kulipa fidia ambayo haijulikani kwa umma.
8. ICSID Cases: Tanzania imekumbana na baadhi ya kesi za uwekezaji zilizosikilizwa na ICSID ambapo imepoteza. Ingawa maelezo ya kina ya kesi hizi yanaweza kuwa ya faragha, kuna rekodi za migogoro ambapo Tanzania imekumbana na madai ya fidia kutoka kwa wawekezaji.
9. Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) v. Independent Power Tanzania Limited (IPTL): Katika kesi hii, IPTL ilishtaki TANESCO katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) mwaka 2011. IPTL ilidai kwamba TANESCO ilivunja mkataba wa umeme na kampuni hiyo. Mwaka 2018, ICSID iliamua kwa faida ya IPTL na iliiamuru TANESCO kulipa fidia ya dola milioni 148 kwa kampuni hiyo.
Inafaa kuzingatia kuwa migogoro ya uwekezaji inaweza kuwa na matokeo tofauti, na kushindwa kwa serikali katika kesi fulani haimaanishi kuwa serikali haina utayari wa kutatua migogoro au kushirikiana na wawekezaji. Kutatua migogoro ya uwekezaji ni mchakato mgumu, na kesi zinaweza kutegemea mambo mengi ikiwa ni pamoja na mazingira ya kisheria, ushahidi uliopo, na tafsiri ya sheria na mikataba husika.
[14:55, 24/07/2023] +25: In this case
Our intellectuals seems like they do not know what they are doing and are not responsible for their failures You can’t defend a case like that
[14:57, 24/07/2023] Es: Je kuna sheria ya kuwabana Watendaji wanaoingiza Nchi kwenye Migogoro ya aina hii? Kwa kesi tulizo shindwa ni hatua gani zimechukuliwa?
[14:59, 24/07/2023] Taa: @K. Mafanikio katika migogoro ya uwekezaji hayamaanishi kwamba hakukuwa na hasara au athari kwa pande zinazohusika. Hata kama serikali imeshinda kesi au imefanikiwa kupunguza fidia inayodaiwa, bado inaweza kuwa na gharama na athari za kiuchumi na kisheria.
Katika migogoro ya uwekezaji, kutofautiana kwa maana ya “ushindi” kunaweza kujumuisha mambo kama vile:
1. Kutolipwa kwa Fidia: Ikiwa serikali imefanikiwa kupunguza kiasi cha fidia kinachodaiwa, bado inabidi ilipe fidia, ambayo inaweza kuwa na gharama kubwa kwa bajeti ya serikali.
2. Gharama za Kisheria: Kushiriki katika migogoro ya kimataifa ya uwekezaji inaweza kuwa na gharama kubwa za kisheria kwa serikali. Hii inajumuisha ada za wanasheria, gharama za kufanya utafiti, na gharama zingine za kesi.
3. Wakati na Rasilimali: Kushiriki katika migogoro ya uwekezaji inahitaji wakati na rasilimali nyingi kutoka kwa serikali. Hii inaweza kuzingatia nguvu za kisheria, rasilimali za fedha, na wakati wa maafisa wa serikali.
4. Uaminifu na Sifa: Migogoro ya uwekezaji inaweza kuathiri uaminifu na sifa ya nchi kwa wawekezaji wengine na jamii ya kimataifa. Kusikika mara kwa mara kwa migogoro inaweza kuathiri imani ya wawekezaji katika mazingira ya biashara ya nchi.
5. Kuchelewa kwa Miradi ya Uwekezaji: Migogoro ya uwekezaji inaweza kusababisha kuchelewa kwa miradi ya uwekezaji na maendeleo ambayo inaweza kuwa na athari hasi kwa uchumi na jamii.
Kwa hivyo, ingawa serikali inaweza kupata “ushindi” katika migogoro ya uwekezaji, bado kuna gharama na athari za kuzingatia. Ni muhimu kwa nchi kuwa na mfumo mzuri wa kisheria na sera ya uwekezaji ili kuepuka migogoro isiyohitajika na kudumisha mazingira mazuri ya biashara kwa wawekezaji. Nimefanikiwa kuangalia hii video masaa yote 10..Mimi ndio nilikuwa natetema kama niko pale kizimbani.. Sijui lakini Kama Taifa mmmmh
[15:07, 24/07/2023] T: @~G. It’s important to recognize that the actions and decisions of individuals, including intellectuals and policymakers, can indeed have significant consequences. When it comes to matters such as investment disputes, economic policies, or governance issues, the decisions made by these individuals can impact the country’s economic and political landscape.
If there are instances where intellectual or policy decisions have led to failures or undesirable outcomes, it could be due to various reasons, such as:
1. Lack of Expertise: Decision-makers may lack the necessary expertise or knowledge in specific areas, leading to suboptimal decisions.
2. Political Interference: Sometimes, political pressure or interests can influence decision-making, leading to choices that prioritize short-term gains over long-term sustainability.
3. Corruption: Cases of corruption and unethical practices can undermine effective decision-making and lead to failures.
4. Ineffective Implementation: Even with good policies or decisions, if implementation is flawed, the desired outcomes may not be achieved.
5. Complexity of Issues: Many issues, including investment disputes, are complex, and no decision can guarantee a perfect outcome.
To address such challenges, it is crucial to promote transparency, accountability, and good governance. This includes engaging knowledgeable experts in the decision-making process, having checks and balances in place, and ensuring that policies are evaluated regularly and adjusted when needed. Additionally, investing in education and training for policymakers and intellectuals can help improve their understanding and decision-making skills.
Ultimately, no individual or group is immune to making mistakes. The key lies in learning from failures, being open to constructive criticism, and continuously striving for improvement to create a better and more sustainable future for the nation.
[15:08, 24/07/2023] +255: Je! Athari no 1 kama ulivyo ielezea inapelekea mashart magumu ya mikataba kwa wawekezaji.
Kwann juhudi za serikali hazionekani kama zinazaa matunda kwenye kupitia kwa makini mikataba kabla ya kuisaini nakufanya negotiations nzuri kwa manufaa ya umma?
[15:09, 24/07/2023] G: Moderator @T Ni muhimu majibu yawe ya kiswahili kwa manufaa ya wengi 😎🙆🏾♂️
[15:12, 24/07/2023] T: SAWA..
\Ni muhimu kutambua kuwa vitendo na maamuzi ya watu binafsi, ikiwa ni pamoja na wanazuoni na watunga sera, vinaweza kuwa na athari kubwa. Katika masuala kama migogoro ya uwekezaji, sera za kiuchumi, au masuala ya utawala, maamuzi yanayofanywa na watu hawa yanaweza kuathiri uchumi na siasa za nchi.
Ikiwa kuna hali ambapo wanazuoni au watunga sera wameshindwa au kuleta matokeo mabaya, inaweza kuwa kutokana na sababu kadhaa, kama vile:
1. Kutokuwa na Utaalamu wa Kutosha: Watunga sera wanaweza kukosa ujuzi au maarifa ya kutosha katika maeneo fulani, hivyo kufanya maamuzi ambayo si bora.
2. Kuingiliwa Kisiasa: Wakati mwingine, shinikizo la kisiasa au maslahi yanaweza kushawishi maamuzi, na kusababisha vipaumbele vifupi badala ya kuzingatia mustakabali wa muda mrefu.
3. Rushwa: Kuna hali ambapo rushwa na vitendo visivyo vya maadili vinaweza kuharibu uamuzi madhubuti na kusababisha matokeo mabaya.
4. Utekelezaji Duni: Hata kama kuna sera nzuri au maamuzi mazuri, utekelezaji usiofaa unaweza kuzuia kufikia malengo yaliyokusudiwa.
5. Ujumuishi wa Masuala: Masuala mengi, kama vile migogoro ya uwekezaji, ni tata, na hakuna uamuzi unaothibitisha matokeo kamili.
Kushughulikia changamoto kama hizo, ni muhimu kukuza uwazi, uwajibikaji, na utawala bora. Hii inaweza kujumuisha kuwashirikisha wataalamu waliofundishwa katika mchakato wa kufanya maamuzi, kuwa na mifumo ya kudhibiti na uwiano, na kuhakikisha sera zinakaguliwa mara kwa mara na kufanyiwa marekebisho inapobidi. Aidha, kuwekeza katika elimu na mafunzo kwa watunga sera na wanazuoni kunaweza kusaidia kuboresha ufahamu wao na uwezo wa kufanya maamuzi bora.
Mwishowe, hakuna mtu au kundi linaloweza kuepuka kufanya makosa. Jambo muhimu ni kujifunza kutokana na makosa hayo, kuwa tayari kupokea maoni yenye kujenga, na kuendelea kujitahidi kuboresha ili kuunda siku za usoni bora na endelevu kwa taifa.
[15:17, 24/07/2023] +255: Mwenye mkataba afoward plz..
[15:18, 24/07/2023] +255 : Ndugu @T naomba utusaidie maelezo ya kikatiba kuhusu hio point no2 kuingiliwa kisiasa
[15:27, 24/07/2023] Ta: Kutokana na athari ya kwanza niliyoielezea, ambayo ni kutokuwa na utaalamu wa kutosha katika maeneo husika, inaweza kusababisha masharti magumu ya mikataba kwa wawekezaji. Ikiwa watendaji wa serikali au wataalamu hawana uelewa mzuri wa mambo yanayohusika katika uwekezaji au wanashindwa kutathmini kwa kina athari za mikataba, wanaweza kufanya makubaliano ambayo siyo yenye manufaa kwa nchi au yanayounga mkono maslahi ya wawekezaji zaidi.
Kutokuwa na utaalamu wa kutosha katika mchakato wa kufanya maamuzi kunaweza kusababisha mambo yafuatayo:
1. Masharti Magumu ya Mikataba: Serikali inaweza kukubali masharti magumu au mabaya katika mikataba ya uwekezaji, kama vile viwango vya chini vya kodi, kinga kubwa za uwekezaji, au vikwazo vingine vinavyoweza kudumaza maslahi ya umma.
2. Kutokuwa na Ulinganifu: Makubaliano yanaweza kujaa misamaha mingi au vipengele vya kisheria ambavyo vinaweza kuathiri vibaya mamlaka ya serikali kufanya maamuzi ya baadaye.
3. Migogoro ya Baadaye: Kutokana na masharti magumu au kutokuwa na uwazi katika mikataba, inaweza kusababisha migogoro na wawekezaji katika siku zijazo, ambayo inaweza kusababisha gharama kubwa ya kisheria na kuhatarisha sifa ya nchi kwa wawekezaji wengine.
Ili kupunguza hatari ya athari hizi mbaya, juhudi za serikali katika kusaini mikataba na kufanya mazungumzo ya uwekezaji zinapaswa kuzingatia mambo yafuatayo:
1. Utaalamu wa Kisheria na Uwekezaji: Serikali inapaswa kuwa na wataalamu wenye ujuzi na uelewa wa masuala ya kisheria na uwekezaji ili kushiriki katika mazungumzo na kufanya tathmini sahihi ya mikataba.
2. Tathmini ya Kina: Kabla ya kusaini mikataba, serikali inapaswa kufanya tathmini ya kina ya athari za mikataba kwa uchumi, jamii, na mazingira ili kuhakikisha kuwa mikataba hiyo inalenga maslahi ya umma.
3. Uwazi na Ushirikishwaji: Serikali inapaswa kuwa wazi na kushirikisha umma na wadau wengine katika mchakato wa kufanya maamuzi ya uwekezaji ili kuhakikisha uwajibikaji na uwazi.
4. Kujifunza kutokana na Uzoefu: Serikali inapaswa kujifunza kutokana na migogoro ya zamani na uzoefu wa mikataba ili kuboresha mazungumzo ya uwekezaji na kuepuka makosa ya zamani.
Kwa kufanya juhudi za kuimarisha utaalamu, uwazi, na ushirikishwaji, serikali inaweza kufikia makubaliano bora na kuhakikisha kuwa mikataba ya uwekezaji ina manufaa kwa pande zote zinazohusika, ikiwa ni pamoja na maslahi ya umma na maendeleo ya nchi. Hapa sasa Ndio tunarudi kujadili namna bora yakuwa na katiba bora na naiwatake tu wadau hap ani mjadala wa Pamoja na sisi katika benchi la ufundi sio tunaweza kupata nondo zote za maswali ya kila mdau..Niwashukuru tu wanasheria wanaochakata kwa muda mfupi na kutoa mchango wa majibu ya maswali kuntu yanayotujia kwenye mjadala
[15:39, 24/07/2023] T: Hapa Tanzania dda @E, mbona kuna mfumo wa sheria na kanuni zinazolenga kudhibiti na kuzuia migogoro ya uwekezaji, na vilevile kuwajibisha watendaji wa umma ambao wanaweza kusababisha au kuingiza nchi katika migogoro ya uwekezaji. Hizi ni baadhi ya hatua na sheria zinazochukuliwa kwa ajili hiyo ukizisoma tu unajiuliza mara kadhaa tunakosea wapi?
1. Sheria za Uwekezaji:
Tanzania ina sheria za uwekezaji zinazolenga kuvutia na kudhibiti uwekezaji ndani ya nchi. Sheria hizi zimeundwa kwa kuzingatia maslahi ya pande zote na kutoa mwongozo kwa wawekezaji na serikali katika kufanya mikataba ya uwekezaji.
2. Sheria za Ununuzi wa Umma:
Tanzania ina sheria na kanuni zinazosimamia ununuzi wa umma na manunuzi. Sheria hizi zinahakikisha uwazi, ushindani, na uwajibikaji katika mchakato wa kutoa mikataba ya uwekezaji na kazi za umma.
3. Sheria za Utawala Bora na Kupambana na Rushwa:
Tanzania ina sheria na mifumo ya kupambana na rushwa na kudhibiti vitendo vya ufisadi. Hii inalenga kuhakikisha uwajibikaji na uwazi katika maamuzi ya uwekezaji na kuwabana watendaji wa umma ambao wanaweza kuhusika katika vitendo vya rushwa.
4. Tume ya Uwekezaji Tanzania (TIC):
TIC ni taasisi inayosimamia uwekezaji nchini na kutoa huduma za ushauri na msaada kwa wawekezaji. TIC inahakikisha kuwa taratibu za uwekezaji zinafanyika kwa ufanisi na kwa kufuata sheria na kanuni zilizopo.
5. Mazungumzo na Usuluhishi:
Pale ambapo migogoro inatokea, serikali inaweza kutumia mazungumzo na usuluhishi ili kutatua migogoro hiyo kwa njia ya amani na yenye tija kwa pande zote zinazohusika.
Serikali inahitaji kufanya kazi kwa karibu na wadau wa biashara na wawekezaji ili kujenga mazingira mazuri ya uwekezaji na kuepuka migogoro isiyo ya lazima.
[15:50, 24/07/2023] M: Ndio haya tunayozungumzia watendaji kutotekeleza wajibu wao kwa umakini. Ona hapo chini kiasi cha jumla kinachotakiwa kulipwa!!
[16:12, 24/07/2023] b: Katiba ya Tanzania ni muundo wa sheria na kanuni zinazoongoza utawala na maendeleo ya nchi. Inalenga kuweka msingi wa taasisi za serikali, haki za raia, na kanuni za utawala bora. Kwa hiyo, inajumuisha misingi ambayo inapaswa kuzingatiwa katika kufanya maamuzi na kuzuia kuingiliwa kisiasa.
Kwa kuzingatia kifungu nilichokitaja hapo awali, “Kuingiliwa Kisiasa” kama inavyohusiana na Katiba ya Tanzania inamaanisha:
1. Uhuru na Uhuru wa Taasisi za Kisheria:
Katiba ya Tanzania inalinda uhuru wa taasisi za kisheria, kama mahakama, bunge, na vyombo vya habari. Kuingiliwa kisiasa kunahusisha vitendo vinavyovuruga uhuru wa taasisi hizi na kuhatarisha utendaji wao wa kujitegemea na haki.
2. Utawala Bora:
Katiba ya Tanzania inasisitiza utawala bora, ambao unahusisha uwajibikaji, uwazi, na ufanisi katika maamuzi ya serikali. Kuingiliwa kisiasa kunaweza kudhoofisha utawala bora kwa kusababisha maamuzi ambayo hayazingatii maslahi ya umma au kujaribu kuficha vitendo vya ufisadi au rushwa.
3. Haki za Raia:
Katiba inalinda haki za raia, ikiwa ni pamoja na haki ya kujieleza, haki ya kuwa na upatikanaji wa habari, na haki ya kushiriki katika masuala ya umma. Kuingiliwa kisiasa kunaweza kukiuka haki hizi na kuzuia wananchi kutimiza wajibu wao wa kuchunguza na kufuatilia masuala ya serikali.
Kwa kuzingatia masuala haya, ni muhimu kuhakikisha kuwa Katiba ya Tanzania inalindwa na kuheshimiwa, na kwamba mifumo ya serikali inafanya kazi kwa kufuata misingi ya utawala bora na uhuru wa taasisi za kisheria. Wananchi na wadau wengine wana jukumu la kufuatilia utekelezaji wa Katiba na kudai uwajibikaji kutoka kwa viongozi wa umma ili kuhakikisha kuwa maamuzi yanayofanywa yanazingatia maslahi ya umma na mustakabali wa muda mrefu wa nchi.
[12:40, 24/07/2023] Gi: katika hili, nasikitika na kuona aibu sana. Wadau katika muktadha huu Metaphysically, katiba yetu na dira ya taifa kwa ujumla inaelekea wapi?
Usisikitike au kuona aibu kuhusu hali ya mambo katika muktadha huu. Ni muhimu kutambua na kuchunguza changamoto na masuala muhimu kama vile uelewa wa katiba na dira ya taifa ili kuweza kufanya maboresho na kuleta mabadiliko chanya katika jamii.
Kuhusu suala la katiba na dira ya taifa kwa ujumla, kuelekea wapi kimetazamwa kwa mtazamo wa kimaumbile (metaphysical perspective), hapa kuna mambo kadhaa ambayo yanaweza kuzingatiwa:
1. Maadili na Malengo ya Kitaifa: Kitaifa, katiba na dira ya taifa inatakiwa kujenga msingi wa maadili na malengo ya pamoja ambayo jamii inajitahidi kufikia. Hapa, inaweza kuwa ni kuelekea kwenye jamii yenye haki, usawa, amani, na ustawi wa wote.
2. Umoja na Ushirikiano: Katiba na dira ya taifa zinapaswa kusimamia kuunganisha wananchi wa taifa hilo na kuhimiza ushirikiano katika kufikia malengo yaliyowekwa.
3. Uhuru na Haki: Katiba inatakiwa kulinda uhuru na haki za raia wake, ikijumuisha haki za kiraia, kisiasa, kiuchumi, na kijamii. Dira ya taifa inapaswa kuonyesha dhamira ya kuendeleza uhuru na haki hizi.
4. Maendeleo Endelevu: Metaphysically, katiba na dira ya taifa inaweza kuashiria kuelekea maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii, na kimazingira, kuhakikisha utunzaji wa rasilimali na mazingira kwa vizazi vijavyo.
5. Uongozi Bora: Katiba inapaswa kusimamia utawala bora, uwajibikaji, na kuzuia ubadhirifu wa mali ya umma. Dira ya taifa inapaswa kuonyesha dhamira ya kuwa na uongozi bora kwa manufaa ya taifa na wananchi wake.
Ni muhimu kutambua kuwa maono haya ya kimaumbile yanapaswa kufuatwa na kutekelezwa kwa dhati na viongozi na wananchi wote kwa pamoja. Katiba na dira ya taifa ni miongoni mwa zana muhimu za kuunda mustakabali wa nchi na jamii, na kila mmoja wetu ana jukumu la kushiriki kwa njia ya kuchangia katika kufikia mwelekeo huu. Kupitia elimu na ufahamu, tunaweza kufanikisha mabadiliko chanya na kuendeleza taifa letu kuelekea malengo tuliyoyakusudia.
[18:19, 19/07/2023] G: Nina swali kidogo la kikatiba. Ni kwa nini ni muhimu kwa wananchi kujua na kuelewa sheria za nchi yao ?
[18:20, 19/07/2023] G: Jamii kubwa ina kumbwa na kazia ya kutojua sheria na kunavifungu hata ukiwa mahakamani vinakubana kutojua sheria naona kama vingi ni kandamizi nafikiri mchakato wa katiba uzingatie utoaji eliimu zaidi
MAJIBU
[18:56, 19/07/2023] b: Kifungu cha 8 cha Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania, kinazingatia kanuni ya msingi ya sheria ambayo inasema “ignorantia legis neminem excusat,” ambayo inamaanisha “kutojua sheria hakumwondolei mtu hatia.” Hii inatumika katika mifumo ya kisheria kadhaa duniani, ikiwa ni pamoja na Tanzania.
Kwa hiyo, kulingana na kifungu hicho cha Kanuni ya Adhabu, kutokujua sheria hakutakuwa ni ulinzi wa kumwondolea mtuhumiwa hatia katika mfumo wa sheria wa Tanzania. Hii inamaanisha kwamba mtu anaweza kuchukuliwa kuwa na hatia na kupatikana na hatia ya kosa la jinai hata kama hawakujua kuwa kitendo chao kilikuwa ni kosa kisheria.
Watu wanapaswa kujua sheria na kuzingatia sheria za nchi wanamoishi ili kuepuka kufanya vitendo ambavyo vinaweza kuwa kinyume cha sheria na kusababisha masuala ya kisheria. Ni jukumu la kila mtu kuwa na ufahamu wa sheria na kuzingatia wakati wote ili kuepuka athari za kisheria.
[19:03, 19/07/2023] G: Huwezi kuona sheria hii tumetohoa kwenye sheria za kikoloni, Bado kwanini iendelee kuwepo?
[19:05, 19/07/2023] benedicto mvuma24: Kuondoa au kubadilisha kifungu kama hicho katika sheria ni mchakato wa kisheria ambao unahusisha mamlaka husika na taratibu za kisheria. Ili kufanya mabadiliko kama hayo, hatua zifuatazo zinaweza kuchukuliwa:
1. Utambuzi wa hitaji la mabadiliko:
Jambo la kwanza ni kutambua umuhimu wa kuondoa au kubadilisha kifungu kama hicho. Inaweza kuhitaji tathmini ya kina ya mfumo wa kisheria, mazoea ya kimataifa, na maoni ya wadau mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wanasheria, wanasiasa, na wananchi.
2. Kupendekeza mabadiliko:
Baada ya utambuzi wa hitaji la mabadiliko, hatua inayofuata ni kupendekeza mabadiliko hayo. Hii inaweza kufanywa na mamlaka husika, kama vile bunge au taasisi inayohusika na kuandaa sheria, kama Tume ya Sheria.
3. Mchakato wa kisheria:
Mabadiliko ya sheria yanahitaji kupitishwa kupitia mchakato wa kisheria. Hii inaweza kujumuisha kujadiliwa na kupitishwa na bunge au chombo kingine cha kutunga sheria kilichopo nchini. Mchakato huu unaweza kujumuisha majadiliano, marekebisho, na kupigiwa kura.
4. Utekelezaji na matangazo:
Baada ya mabadiliko kuidhinishwa, hatua inayofuata ni kutekeleza na kutangaza mabadiliko hayo. Sheria mpya itahitaji kutekelezwa na mamlaka husika, na wananchi wote wanapaswa kufahamishwa juu ya mabadiliko hayo.
Mchakato huu unaweza kuwa wa kina na unaweza kuchukua muda. Pia, mabadiliko ya sheria yanategemea mamlaka na taratibu za kisheria hapo ndio kazi ya mchakato wa katiiba na sheria unapoanza sasa.
[19:11, 19/07/2023] Ga: Bado ninao sheria hii inahitaji upembuzi yakinifu . Sababu anaeathirika moja kwa moja ni mwananchi wa kawaida. Hatuwezi kuona sheria hii ni kandamizi kwa watu wake?
[19:15, 19/07/2023] A: Kifungu kinachosema “kutokujua sheria hakumwondolei mtu hatia” kimekuwepo katika mifumo mingi ya kisheria duniani, siyo tu katika Sheria za Tanzania. Lengo la kifungu hicho ni kuhakikisha kuwa kila mtu anawajibika kujua na kuzingatia sheria za nchi yake.
Hata hivyo, kuna hoja zinazotolewa na baadhi ya watu kuwa kifungu hiki kinaweza kuwa kandamizi kwa sababu kinaweka jukumu kubwa kwa raia kujua sheria zote, huku mifumo ya kisheria ikiwa na ugumu na uchangamfu mkubwa. Kwa mfano, katika nchi ambazo sheria ni nyingi, ngumu kueleweka au zinabadilika mara kwa mara, inaweza kuwa vigumu kwa mtu wa kawaida kujua sheria zote.
Vilevile, kwa baadhi ya watu, mfumo huu unaweza kuonekana kama unamnyima mtu nafasi ya kujitetea na kuhoji haki yake, hasa katika kesi ambapo mtu anaweza kuwa na uelewa mdogo wa sheria. Hivyo, kuna mjadala unaendelea kuhusu faida na hasara za kifungu hiki katika mifumo ya kisheria.
Ni muhimu kutambua kwamba mifumo ya kisheria inaendelea kubadilika na kuzoea mahitaji ya jamii. Kwa hiyo, ikiwa kuna wasiwasi kwamba kifungu hiki kinaweza kuwa kandamizi au haki za watu zinaweza kuathiriwa, wadau wanaweza kuwasilisha mapendekezo ya marekebisho na kushiriki katika mijadala ya kisheria ili kuboresha mfumo wa sheria.
[19:17, 19/07/2023] G: Kila nikisoma hiki kifungu nachefukwa. @A
Sioni mantiki ya kifungu hiki ,
Mwananchi mlengwa afanye nini ?
[19:20, 19/07/2023] T: Nimecheka sana Mdau “Umechefukwa” yalikukuta nini mahakamani?
[19:22, 19/07/2023] Gia: Moderator @T Nijibu swali langu kwanza .🤒
[19:29, 19/07/2023] Ta: Ili mtuhumiwa Mlengwa Mwananchi aweze kusasisha maarifa yake na kuepuka kutokujua sheria, lazima kama watu tufanye haya
1. Kujifunza sheria:
Mtu anaweza kuanza kwa kujifunza sheria za nchi kama tunavyofanya hapa. Hii inaweza kujumuisha kusoma vitabu vya sheria, kanuni, na taratibu za kisheria. Pia, mtu anaweza kuhudhuria mafunzo, semina, au warsha zinazohusu sheria au kama hivi ulivyolileta swali lako kwenye forum kama hii.
2. Kupata habari kutoka vyanzo rasmi:
Serikali na mamlaka husika mara nyingi hutoa habari na vifaa vya kusaidia wananchi kuelewa sheria na sasa naona kunauboreshaji mkubwa unafanyika. Mtuhumiwa Mlengwa anaweza kutembelea tovuti za serikali, kama vile za Wizara ya Sheria, Mahakama, au Idara ya Haki,asdasi za kiraia zinazojihusisha na maswala ya kisheria ambapo wanaweza kupata habari muhimu na nyaraka za kisheria.
3. Kupata ushauri wa kisheria:
Kwa masuala mazito na ya kisheria, ni muhimu kutafuta ushauri wa kisheria kutoka kwa mwanasheria au wakili. Mwanasheria ataweza kutoa maelezo na mwongozo unaofaa kuhusu sheria na jinsi inavyomhusu mtuhumiwa Mlengwa.
4. Kujiunga na makundi ya kisheria:
Kuna makundi mengi ya kisheria ambayo mtu anaweza kujiunga nayo ili kujifunza zaidi na kubadilishana uzoefu ambapo wengi hatuuoni umuhimu wa jambo hili. Hii inaweza kuwa ni klabu ya sheria, vyama vya wanasheria, au jumuiya za kisheria za mitaa.
5. Kufuatilia mabadiliko ya kisheria:
Sheria hubadilika mara kwa mara, na ni muhimu kwa mtu kufuatilia mabadiliko hayo. Kusoma taarifa za kisheria, kufuatilia vyombo vya habari, na kujiandikisha kwa habari za sasisho la kisheria kutoka vyanzo rasmi ni njia nzuri ya kusasisha maarifa.
Kwa kufuata hatua hizi, mtuhumiwa Mlengwa,mwananchi kama wewe uliechefukwa unaweza kuimarisha ufahamu wa sheria na kuwa na uwezo bora wa kuzingatia sheria na kujitetea katika mfumo wa kisheria na hili nakupongeza sana. Ni muhimu kwamba ushauri wa kisheria uliopewa na mwanasheria wa kitaalamu ni muhimu sana katika masuala ya kisheria hapa tunakupa tu namna bora ya kutochefukwa tena..
[19:33, 19/07/2023] M: Hili hapa “5. Kufuatilia mabadiliko ya kisheria:
Sheria hubadilika mara kwa mara, na ni muhimu kwa mtu kufuatilia mabadiliko hayo. Kusoma taarifa za kisheria, kufuatilia vyombo vya habari, na kujiandikisha kwa habari za sasisho la kisheria kutoka vyanzo rasmi ni njia nzuri ya kusasisha maarifa.”, ndio muhimu zaidi kwani hiyo kauli msingi wake ni hiyo statement. Ilijengwa katika misingi kuwa utungaji wa sheria ni shirikishi na ni wa wazi, na kila mtu anashiriki kutunga sheria kupitia wawakilishi wake. Kwa hiyo sheria ikitungwa inajulikana. Ndio maana kwa mfano kwenye by-laws kuna hitajio la ile by-law kusudiwa kuchapishwa kwa watu wataoathirika nayo ili waitolee maoni kabla haijatungwa
[19:38, 19/07/2023] G: “Hizo kusasisha na sashisho “ @T & @M Mnatuacha kidogo na Kiswahili hiki yakinifu 🙆🏾♂️
[19:43, 19/07/2023] T: KUSASISHA MAARIFA ni mchakato wa kuendelea kujifunza na kuboresha ufahamu wako katika eneo fulani la maarifa. Inahusisha kufuatilia na kujifunza mabadiliko, maendeleo, na uvumbuzi mpya katika eneo hilo ili kuweka maarifa yako kuwa yanakidhi hali ya sasa.
Kusasisha maarifa kunaweza kujumuisha shughuli kama vile kusoma vitabu, kusoma machapisho ya kisayansi, kusikiliza mihadhara au podcast, kuhudhuria semina au warsha, kujiunga na kozi au programu za mafunzo, kutafiti kwa kutumia vyanzo vya kuaminika mtandaoni, na kujenga uhusiano na wataalamu katika eneo husika.
Umuhimu wa kusasisha maarifa ni kuhakikisha kuwa unakuwa na taarifa na ufahamu wa hivi karibuni katika eneo husika. Hii inakusaidia kuwa na ujuzi unaohitajika, kuweka kasi na mabadiliko ya kiteknolojia, na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi bora na kuchangia kwenye mazungumzo na maendeleo katika eneo hilo.
Kwa mfano, katika mazingira ya kazi, kusasisha maarifa kunaweza kuhusisha kujifunza mbinu mpya za uongozi, teknolojia mpya, au mwenendo wa soko. Katika fani za kisheria, kusasisha maarifa kunaweza kuhusisha kufuatilia marekebisho ya sheria, maamuzi ya mahakama, au mabadiliko katika miongozo ya kitaaluma.
Kwa ujumla, kusasisha maarifa ni mchakato endelevu wa kujifunza na kuboresha ufahamu wako ili kukaa na wakati na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi na kuchangia kwa ufanisi katika eneo lako la maslahi.
[19:50, 19/07/2023] Ta: Neno “SASISHO” linarejelea mabadiliko au habari mpya ambazo hutokea katika eneo fulani au katika kipengele cha maarifa au teknolojia. Sasisho hujumuisha taarifa mpya, maboresho, marekebisho, au maendeleo katika suala husika.
Kwenye muktadha wa maarifa au teknolojia, sasisho ni taarifa au mabadiliko yanayotolewa ili kuweka maarifa na teknolojia katika hali ya sasa. SASISHO linaweza kuwa katika kamusi, Wataalamu wa lugha watatujuza zaidi
SASISHO linachukuliwa kuwa muhimu kwa sababu inahakikisha kuwa maarifa yanabaki kuwa ya sasa na yanajumuisha maendeleo ya hivi karibuni. Ni njia ya kuweka kasi na mabadiliko katika eneo husika na kuhakikisha kuwa watu wanapata habari mpya na muhimu kwa ajili ya kuboresha ujuzi na ufahamu wao.
Kwa mfano, katika teknolojia ya kompyuta, sasisho za programu ni mabadiliko na marekebisho yanayotolewa na watengenezaji ili kuboresha utendaji, kurekebisha hitilafu, au kusasisha usalama. Katika mazingira ya kisheria, sasisho linaweza kuwa marekebisho ya sheria yaliyofanywa na bunge au uamuzi wa hivi karibuni wa mahakama.
Kwa ujumla, SASISHO ni taarifa au mabadiliko yanayotolewa ili kudumisha maarifa na teknolojia katika hali ya sasa na kukidhi mahitaji ya wakati uliopo. TUENDELEE SASA
[19:50, 19/07/2023] G: 🙆🏾♂️🙌🏾
Ahaaaa @T .
[19:54, 19/07/2023] Ta: Ni kweli @M Shirikisho na ushiriki wa umma katika utungaji wa sheria ni muhimu sana. Kuwezesha fursa kwa wananchi kutoa maoni na mchango wao katika hatua za awali za utungaji wa sheria, kama vile kuchapishwa kwa sheria kabla haijatungwa, ni njia nzuri ya kuhakikisha kuwa sheria inawajenga na kuwahudumia wananchi ipasavyo.
Kwa kuzingatia misingi hii, wananchi wanaweza kujitayarisha na kufuata sheria kwa ufanisi na kuwa na sauti katika mchakato wa kutunga sheria. Pia, kuhakikisha uwazi na ufikiaji wa sheria kutachochea imani na heshima kwa mfumo wa sheria na kukuza haki na usawa kwa wananchi wote.
[19:56, 19/07/2023] Gidion Na: Wadau, Naomba tujadili madhara ya jumla ya sheria hii. Hatuoni watu wengi wameathirika kutokana na hili? Bado Nina ukakasi kidogo juu ya hili.
[20:05, 19/07/2023] M: Kama ingeruhusiwa ignorance of the law kuwa defense basi hakuna ambaye angehukumiwa maana kila mtu angesema hajui sheria, na wengine wangepretend kutojua. Ndio sababu ikawekwa hiyo responsibility
[20:06, 19/07/2023] M: Hata hiyo kukosea sheria mistake of law ni defense
[20:09, 19/07/2023] M: Na mara nyingi hii maxim inatumika sana (strictly)kwenye kesi za jinai kuliko za madai japokuwa kuna wakati baadhi ya mahakama nchi nyingine zimejaribu kuweka exception lakini katika very strict circumstances
[20:11, 19/07/2023] T: Ndiyo, katika mifumo mingi ya kisheria, “kukosea sheria” (mistake of law) inaweza kutumika kama ulinzi (defense) katika kesi za jinai. Mistake of law inamaanisha mtuhumiwa anaamini kwamba kitendo alichofanya hakikuwa kinyume cha sheria, hata kama haikuwa kweli.
Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa ulinzi wa kukosea sheria (mistake of law) mara nyingi unatumika katika hali maalum na kuna vigezo vinavyopaswa kuzingatiwa. Kwa mfano, kuna tofauti kati ya “kukosea sheria” (mistake of law) na “kukosea ukweli” (mistake of fact).
Katika baadhi ya mifumo ya kisheria, mtuhumiwa anaweza kutumia ulinzi wa kukosea sheria ikiwa kuna sababu halali ya kuamini kwamba kitendo alichokifanya hakikuwa kinyume cha sheria, kama vile kutegemea tafsiri isiyo sahihi ya sheria iliyotolewa na mamlaka husika.
Hata hivyo, inapaswa kuzingatiwa kwamba mifumo ya kisheria inatofautiana kutoka nchi moja hadi nyingine. Sheria na kanuni za kukosea sheria kama ulinzi zinaweza kutofautiana kulingana na nchi na mfumo wa kisheria uliopo. Kwa hiyo, ni vyema kushauriana na mwanasheria au wataalamu wa sheria katika eneo husika ili kupata mwongozo sahihi kuhusu ulinzi wa kukosea sheria katika muktadha maalum wa kisheria.
[20:27, 19/07/2023] G: Kwa kuzingatia hayo mliyosema wadau @Tandawili Machaka na @Msomi Fungo . Nini kifanyike kiwe kama pendekezi kwenye uboreshaji wa katiba yetu?
[21:16, 19/07/2023] T: Sheria ambayo inasema “kutokujua sheria hakumwondolei mtu hatia” inaweza kuwa na madhara kwa wananchi ambao hawana ufahamu wa sheria .Ni kweli yapo baadhi ya madhara yanayoweza kujitokeza:
1. Ubaguzi na kutokuwa na usawa:
Sheria hii inaweza kuwa na athari tofauti kwa watu kutokana na upatikanaji tofauti wa elimu na ufahamu wa sheria. Wananchi ambao hawana rasilimali au fursa ya kupata elimu ya kisheria wanaweza kuwa katika hatari ya kuwa na ufahamu mdogo wa sheria na, kwa hiyo, wanaweza kuwa katika hatari ya kukiuka sheria bila kujua.
2. Unyanyasaji wa kisheria:
Katika mifumo isiyo na uwazi au isiyojitosheleza, sheria hii inaweza kuwa chombo cha unyanyasaji wa kisheria. Watu wanaweza kushtakiwa na kupatikana na hatia hata kwa makosa madogo ambayo hawakujua kuwa ni kinyume cha sheria.
3. Kupunguza imani katika mfumo wa sheria:
Sheria hii inaweza kusababisha wananchi kupoteza imani katika haki na usawa wa mfumo wa sheria. Wanaweza kuona mfumo wa sheria kama kandamizi au unaowalenga, hasa ikiwa hawawezi kujitetea kwa kutokujua sheria.
4. Uwezekano wa kukosa haki ya kujitetea:
Sheria hii inaweza kuwanyima watuhumiwa fursa ya kujitetea kwa kutumia kutokujua sheria kama ulinzi wao. Watu wanaweza kuwa na hatia na kupatikana na hatia bila kujua au kuelewa kabisa matokeo ya vitendo vyao.
Lazima mfumo wa sheria kuzingatia uwazi, upatikanaji wa elimu ya kisheria, na kuhakikisha kuwa haki za wananchi zinalindwa. Pia, inapaswa kuwepo njia za kuhakiki mifumo ya sheria ili kuondoa ubaguzi na kuhakikisha kuwa haki za watu zinaheshimiwa.
[21:22, 19/07/2023] T: Katika kuandaa katiba mpya, kuna mambo muhimu ambayo yanapaswa kuzingatiwa linapokuja suala la sheria na haki za msingi. Hapa kuna mambo kadhaa ambayo yanaweza kuzingatiwa:
1. Uhuru wa kujieleza na haki za msingi:
Katiba inapaswa kulinda uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa kujumuika, na uhuru wa dini na imani. Pia, inapaswa kutoa ulinzi kwa haki za binadamu za msingi kama vile haki ya usawa, uhuru wa kibinafsi, na haki ya kupata haki ya haki.
2. Utawala bora na uwajibikaji:
Katiba inapaswa kusisitiza umuhimu wa utawala bora, uwajibikaji wa viongozi, uwazi, uwazi, na uwajibikaji kwa wananchi. Inaweza kujumuisha mifumo ya usimamizi wa rasilimali za umma, uwepo wa tume huru za uchaguzi, na utaratibu wa kisheria wa kuchunguza na kushughulikia vitendo vya rushwa.
3. Uhuru wa Mahakama na utawala wa sheria:
Katiba inapaswa kuhakikisha uhuru wa Mahakama na kujenga utawala wa sheria. Inaweza kuhusisha uhuru wa majaji, uhuru wa kufanya maamuzi kwa haki, na ulinzi dhidi ya ubaguzi na upendeleo.
4. Ulinzi wa haki za watu wachache na makundi yaliyotengwa:
Katiba inapaswa kuhakikisha ulinzi na usawa kwa watu wachache na makundi yaliyotengwa, kama vile wanawake, watoto, watu wenye ulemavu, wazee, na wachache wa kikabila. Inaweza kujumuisha hatua za kuboresha usawa wa kijinsia na kuondoa ubaguzi katika jamii.
5. Ushiriki wa umma na demokrasia:
Katiba inapaswa kuwezesha ushiriki wa umma na kuwawezesha wananchi kushiriki katika mchakato wa maamuzi ya umma na kuwajibika kwa viongozi wao. Inaweza kujumuisha haki ya kupiga kura, uwepo wa vyombo vya uwakilishi, na mifumo ya ushiriki wa wananchi katika maamuzi ya umma.
6. Mfumo wa haki na utekelezaji:
Katiba inapaswa kuhakikisha kuwa mfumo wa haki ni wa haki, ufanisi, na unapatikana kwa wote. Inaweza kujumuisha haki ya kupata msaada wa kisheria, uhuru wa kufanya malalamiko na kusikilizwa kwa haki, na uwepo wa mfumo wa kisheria uliowazi na unaofuata kanuni za haki na usawa.
Kufanya mchakato wa katiba mpya uwe shirikishi na kuhusisha maoni na maslahi ya wananchi wote. Mchakato wa kuandaa katiba mpya unapaswa kuwa wazi, uwazi, na kuzingatia misingi ya kidemokrasia na haki za binadamu Wanasheria wako hapa watatudadavulia zaidi.
[21:27, 19/07/2023] G: Hakika kwa hili Grace works on disposition minds.Umefungua uelewa Mpana sana katika hili. @T: NYONGEZA…
Katika kuandaa katiba mpya, kuna mambo kadhaa yanayopaswa kuzingatiwa linapokuja suala la sheria na kanuni za kukosea sheria (mistake of law). Ninanyongeza muhimu yanayoweza kuzingatiwa pia:
1. Uhuru wa kujieleza na haki za binadamu:
Katiba inapaswa kuhakikisha uhuru wa kujieleza na haki za binadamu zinalindwa ipasavyo. Hii ni pamoja na uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika, na kueleza fikra bila kuingiliwa na serikali au vyanzo vingine vya mamlaka.
2. Uwazi na upatikanaji wa sheria:
Katiba inapaswa kuhakikisha uwazi na upatikanaji wa sheria kwa wananchi. Sheria na kanuni zinapaswa kuwa wazi, rahisi kueleweka, na kupatikana kwa urahisi ili kila mtu aweze kuzijua na kuzingatia.
3. Elimu ya kisheria:
Katiba inaweza kuzingatia umuhimu wa elimu ya kisheria kwa umma. Hii inaweza kujumuisha kutoa elimu ya kisheria na ufahamu wa sheria kwa wananchi ili waweze kuelewa na kuzingatia sheria zao.
4. Kanuni ya “kutokujua sheria”:
Katiba inaweza kuamua jinsi sheria na kanuni za kukosea sheria (mistake of law) zinavyotumika. Inaweza kubainisha ikiwa kukosea sheria linaweza kutumiwa kama ulinzi na vigezo vinavyopaswa kuzingatiwa katika kesi hizo.
5. Usawa mbele ya sheria:
Katiba inapaswa kuhakikisha kuwa kila mtu anasimama mbele ya sheria bila ubaguzi. Sheria zinapaswa kutumika kwa usawa na haki kwa watu wote, bila kujali hadhi yao au nafasi yao katika jamii.
6. Ushirikishwaji wa umma:
Katiba inaweza kuweka utaratibu wa kushirikisha umma katika mchakato wa kuunda na kuboresha sheria. Hii inaweza kujumuisha kutoa fursa kwa umma kutoa maoni na kuchangia katika hatua za awali za utungaji wa sheria.
Mchakato wa kuandaa katiba mpya unahitaji kuzingatia mahitaji na maoni ya wananchi, misingi ya demokrasia, na heshima ya haki za binadamu. Ushauri wa wataalamu wa sheria na mchakato wa kujadiliana na wananchi ni muhimu katika kuhakikisha kuwa sheria zinajengwa kwa njia ambayo inaweka msingi wa haki, usawa, na utawala bora.
[08:50, 20/07/2023] +255: Najaribu kuwaza kwa sauti! Sheria zilizopo sasa pia zinafaa sana kutumika na ziko sawa ila swali tunawezaje kuwageuza watu specifically wenye vyeo fulani,viongozi mfano tumeona hata kwenye awamu iliyopita pia alichokisema mzee Rostam mahakama sometimes Zina operate kwa simu(maelekezo). Je nini kifanyike watu kuheshimu sheria na zikafatwa bila kujali huyu ni nani??? Pili nini kifanyike mihimili hii iwe na nguvu na ifanye kazi bila kuingiliwa??? Tunahitaji professionals ambao hawateuliwi na mtu yeyote??? Nafikiri kuna nafasi haziitaji siasa, uteuzi nakadhalika. Kuna haja ya kuliweka sawa hili maana hata tukipata katiba mpya bado tunapata shida ya namna ya hii taasisi kuwa 100% independent.
[12:37, 20/07/2023] M: Shida inakuja pale mtu anajua wazi kuwa kwa hili, kwa wakati huu ni kosa. Lakini anataka kulihalalisha kwa kisingizio cha demokrasia uhuru wa maoni.
[14:12, 20/07/2023] T: Mtu anajua wazi kuwa anafanya kosa lakini anajaribu kulihalalisha kwa kisingizio cha demokrasia au uhuru wa maoni inaweza kuwa ngumu na inahitaji kutafakari kwa kina juu ya masuala ya maadili na utawala bora. Mimi naona mambo muhimu yanayoweza kuzingatiwa kushughulikia hali kama kwa mtazamo wangu ni haya:
1. Kujikagua kimaadili: Mtu anaweza kuanza kwa kujiuliza maswali ya maadili juu ya kitendo anachokusudia kufanya. Anaweza kujiuliza ikiwa kitendo hicho kinaendana na kanuni za maadili na thamani za jamii, haki za binadamu, na haki za wengine.
2. Kuheshimu sheria na katiba: Mtu anapaswa kuzingatia kwamba demokrasia na uhuru wa maoni vina mipaka na vinapaswa kuheshimu sheria na katiba ya nchi. Uhuru wa maoni hauhusu kufanya mambo yoyote bila kuzingatia sheria na kanuni zilizopo.
3. Kupata ushauri wa kitaalamu: Mtu anaweza kutafuta ushauri wa kitaalamu kutoka kwa wataalamu wa sheria au washauri wengine ili kupata mwongozo kuhusu hatua wanayokusudia kuchukua na jinsi inavyolingana na sheria na maadili.
4. Kuzingatia maslahi ya umma: Ni muhimu kuzingatia maslahi ya umma na athari za kitendo hicho kwa jamii na taifa kwa ujumla. Kitendo ambacho kinaweza kuwa kinyume cha sheria au kanuni kinaweza kuathiri vibaya wengine na kuleta athari mbaya katika jamii.
5. Uwazi na uwajibikaji: Ni muhimu kuwa na uwazi na uwajibikaji katika kuchukua hatua. Mtu anaweza kujitahidi kujieleza kwa uwazi kuhusu nia na mawazo yake, na pia kuwajibika kwa matendo yake mbele ya wengine na mbele ya sheria.
6. Kufuata taratibu za kisheria: Ikiwa mtu anaamini kuwa sheria na kanuni za sasa hazilingani na maadili au matakwa ya demokrasia, wanaweza kutumia taratibu za kisheria za kuleta mabadiliko au kufanya kampeni ya kisheria ili kufikia lengo lao.
Kwa ujumla, ni muhimu kuzingatia kanuni za maadili, sheria na katiba ya nchi, na maslahi ya umma katika kuchukua hatua na kutoa maoni. Uhuru wa maoni unapaswa kwenda sambamba na wajibu na heshima kwa sheria na haki za wengine.
[14:21, 20/07/2023] Mzee K: 👍🏿👍🏿
[14:46, 20/07/2023] T: Maswali yako ni muhimu na yanaelekeza kwenye changamoto kubwa za kujenga na kudumisha utawala bora, uhuru wa taasisi, na kuhakikisha kila mtu anaheshimu sheria bila kujali cheo chake au nafasi yake katika jamii. Kufikia malengo hayo, kuna mambo kadhaa ambayo yanaweza kuzingatiwa:
1. Utawala bora na uwazi: Kujenga utawala bora unahitaji uwazi, uwajibikaji, na uwazi katika taasisi za serikali na mifumo ya kisheria. Serikali inapaswa kuwa wazi na kutoa taarifa kwa umma juu ya shughuli zake, na taasisi za kisheria zinapaswa kufanya kazi kwa uwazi na uwajibikaji ili kujenga imani ya umma.
2. Uhuru na uhuru wa taasisi: Uhuru wa mihimili ya serikali, kama vile Mahakama, Bunge, na Serikali, ni muhimu sana. Kuhakikisha mihimili hii inakuwa huru na haiingiliwi na mamlaka nyingine kunahitaji kuweka katiba na sheria ambazo zinalinda uhuru huo na kusimamia kwa kina.
3. Kupambana na rushwa na ufisadi: Rushwa na ufisadi ni moja ya changamoto kubwa inayohatarisha uhuru na utawala bora. Kuhakikisha kuwa taasisi za kupambana na rushwa zina nguvu na uhuru wa kufanya kazi yake bila kuingiliwa na mtu yeyote ni muhimu katika kupunguza athari za rushwa.
4. Uteuzi na upatikanaji wa wataalamu: Kuhakikisha taasisi za serikali na mifumo ya kisheria ina wataalamu waliojizolea uzoefu na ujuzi katika fani zao ni muhimu. Uteuzi unapaswa kutegemea sifa na uwezo wa mtu na siyo upendeleo wa kisiasa au mengineyo.
5. Elimu ya kisheria na uelewa wa umma: Kutoa elimu ya kisheria na kuelimisha umma juu ya haki na wajibu wao chini ya sheria na katiba inaweza kusaidia kujenga utamaduni wa kuheshimu sheria na kusaidia watu kuelewa jinsi taasisi za serikali zinavyofanya kazi.
Kwa ujumla, kujenga taasisi huru, kuhakikisha utawala bora, na kuwajibika kwa wote, inahitaji juhudi za pamoja za serikali, taasisi za kiraia, na wananchi wenyewe. Kufanya mabadiliko hayo yanaweza kuchukua muda na jitihada, lakini ni muhimu katika kujenga jamii yenye usawa, yenye haki, na yenye kuheshimu sheria Nashukuru hili leo limeongelewa sana Pale ukumbi wa Jakaya Kikwete katika kikao cha wajumbe wa tume ya haki jinai, dpc na wahariri wa vyombo vya habari kilichomalizika hivi punde
Mjadala ulianza na swali la kujua kuhusu mwelekeo wa katiba ya taifa na dira ya taifa kwa ujumla kuhusiana na migogoro ya uwekezaji. Majibu yalitolewa na wadau kwa kutumia muktadha wa kimetaphysically (metaphysically), ambapo walijadili kuhusu maamuzi na vitendo vya serikali na jinsi vinavyoweza kuathiri mwelekeo wa nchi katika masuala ya uwekezaji.
Wadau walijadili kuhusu jukumu la International Center for Settlement of Investment Disputes (ICSID) kama kituo cha kimataifa kinachoshughulikia migogoro ya uwekezaji. ICSID inasimamia na kusuluhisha migogoro ya uwekezaji kati ya nchi wanachama na wawekezaji wa kigeni. Wadau walielezea umuhimu wa ICSID katika kutoa jukwaa la kuaminika na la haki kwa suluhisho la migogoro ya uwekezaji na jinsi inavyosaidia kukuza usalama na uhakika wa wawekezaji wa kigeni.
Pia, kulikuwa na majadiliano kuhusu mafanikio na hasara za taifa katika migogoro ya uwekezaji. Wadau walitoa mifano ya kesi ambazo Tanzania imepata mafanikio na ambazo imepoteza katika migogoro ya uwekezaji. Mifano hii ilihusisha kesi za mahakama na usuluhishi wa kimataifa ambapo taifa lilikuwa mshindi au alipaswa kulipa fidia.
Swali lingine lilikuwa juu ya umuhimu wa kuepuka migogoro ya uwekezaji kwa kutengeneza mikataba makini ya kimataifa na jinsi ya kufikia lengo hili. Wadau walijadili kuhusu umuhimu wa serikali kuwa na wataalamu waliofundishwa na wenye ujuzi katika mchakato wa kufanya maamuzi ya uwekezaji na jinsi ya kufanya tathmini ya kina ya athari za mikataba kwa uchumi, jamii, na mazingira ili kuhakikisha kuwa mikataba ina manufaa kwa pande zote.
Kulikuwa pia na majadiliano kuhusu jinsi ya kuzuia migogoro ya uwekezaji na kuhakikisha uwajibikaji wa watendaji wa umma ambao wanaweza kusababisha au kuingiza nchi katika migogoro ya uwekezaji. Wadau walisisitiza umuhimu wa uwazi, uwajibikaji, na utawala bora katika mchakato wa kufanya maamuzi ya uwekezaji na jinsi ya kujifunza kutokana na migogoro ya zamani ili kuboresha mazungumzo ya uwekezaji na kuepuka makosa ya zamani.
Jumla ya mjadala ulikuwa wa kina na wa kuelimisha, na ulijumuisha maoni na mawazo tofauti kutoka kwa wadau mbalimbali. Mjadala ulisisitiza umuhimu wa kufanya maamuzi ya uwekezaji kwa kuzingatia maslahi ya umma, kuwa na utaalamu wa kutosha, na kuweka mfumo wa kisheria na sera thabiti ili kuzuia migogoro ya uwekezaji na kuendeleza maendeleo ya nchi. Pia, ulisisitiza umuhimu wa kuwa wazi na kushirikisha umma na wadau wengine katika mchakato wa kufanya maamuzi ya uwekezaji ili kuhakikisha uwajibikaji na uwazi katika mchakato mzima wa uwekezaji.