KATIBA YA WATU
Yaliyojiri
HIVI BANDARI HAKUNA WATU WALIOSOMA JINSI YA KUENDESHA BANDARI? MDAU ALIULIZA SWALI KATIKA MJADALA WA KATIBA YA WATU..
MAJIBU Ifike mahali tujipambanue katika teknolojia tusiwe wepesi kuadmit kuwa hatuwezi! Kwanini hatuwezi why sisi je ni elimu duni? He ni uchumi mbovu? Ni nini chenye kuleta...
TATHMINI YA MJADALA KATIKA FORUM YA KATIBA YA WATU KUWEKA USAFI WA MAZINGIRA KAMA HAKI YA MSINGI KIKATIBA YA WATANZANIA
I. Utangulizi Tathmini kuhusu umuhimu wa kuweka msingi uliojengwa imara na kuweka mwelekeo wa kitaifa kuwa usafi wa mazingira ni haki ya msingi ya Watanzania. ...
UTARATIBU WA USAFI WA MAZINGIRA NAO UWEKWE KWENYE KATIBA?SWALI LA MDAU KWENYE FORUM YA KATIBA YA WATU
KATIBA IJAYO IJIBU NINI JUU YA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA? MDAU ALITUPA SWALI KATIKA MJADALA WA KATIBA YA WATU
MAJIBU Kabla hatuja pata majibu na mchakato wa katiba dhidi ya adui huyu na vita yake kikatiba, kwanza tujue hali ikoje na hadi sasa Taasisi tulizozipa mamlaka ya kusimamia...
HIVI NDIVYO WENGINE WANAONA NDANI YETU NA KUANZA KUPANGA MAPEMA JINSI YA KUSHUGHULIKA NASI. NASHANGAA JINSI TUNAVYOJIONA NA KAMA TUNA MPANGO WA PAMOJA WA KUJIWEKA KIMKAKATI KWA YALE YAJAYO. MJADALA..
MAJIBU [14:20, 23/06/2023] T: Ni kweli @P kwamba jinsi tunavyojiona wenyewe na jinsi tunavyoshirikiana kama taifa inaweza kuwa na athari kubwa kwa jinsi wengine wanavyotuchukulia na...
KATIKA MJADALA HUU, TUMEGUSIA MASUALA MUHIMU YANAYOHUSU UONGOZI, MAENDELEO, MFUMO WA ELIMU, LUGHA, NA UTAMBULISHO WA KIAFRIKA.
Mjadala umezungumzia changamoto ambazo Afrika inakabiliana nazo katika kujenga nchi yenye maendeleo endelevu na uwezo wa kutumia rasilimali zake kwa faida ya watu wake. Mjadala...





