• Mwanzo
  • Katiba kwa Sauti
  • Katiba kwa Kusoma
  • Historia ya Katiba
  • Historia ya Katiba (Sauti)
  • Forums
  • Mwanzo
  • Katiba kwa Sauti
  • Katiba kwa Kusoma
  • Historia ya Katiba
  • Historia ya Katiba (Sauti)
  • Forums
  • Mwanzo
  • Katiba kwa Sauti
  • Katiba kwa Kusoma
  • Historia ya Katiba
  • Historia ya Katiba (Sauti)
  • Forums
  • Mwanzo
  • Katiba kwa Sauti
  • Katiba kwa Kusoma
  • Historia ya Katiba
  • Historia ya Katiba (Sauti)
  • Forums
Wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

KATIBA YA WATU

Yaliyojiri

MZEE
HakiHistoriaJamiiKatibaMaendeleoSheriaSiasa

Hadhi ya Haki za Binadamu na Uhuru wa Raia ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, inapatikana kwenye Ibara ya 9. Ibara hii inahakikisha haki za msingi za binadamu na uhuru wa raia, ikiwa ni pamoja na haki ya usawa.#katibayawatu

Hadhi ya Haki za Binadamu na Haki za Raia ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 imeainishwa katika Ibara ya 12 hadi 30. Hata hivyo, haki ya usawa inaweza...

Read More
administrator December 3, 2023
0
BENDER
JamiiKatibaSiasa

TATHMINI NA RIPOTI YA MJADALA “MDAU ALIULIZA KWENYE MJADALA, HIVI HIYO KATIBA ISIYOANDIKWA INAFANYAJE KAZI WAKATI HAIPO DOCUMENTED? HOW CAN IT BE REFERRED? INA MAANA WANANCHI NA VIONGOZI WAO WANAKUWA WAMEIKARIRI KICHWANI? NAOMBA ELIMU TAFADHALI. – DECEMBER 01, 2023

Mada Kuu: Katiba isiyoandikwa na Jinsi Inavyofanya Kazi: Katiba ni Sheria au Kanuni za Kuongoza: Mjadala unaanzia na ufafanuzi wa Katiba kama sheria au kanuni zinazoongoza jinsi nchi...

Read More
administrator December 1, 2023
2
WH
KatibaSiasa

Mdau aliuliza kwenye mjadala..Hivi hiyo Katiba isiyoandikwa inafanyaje kazi wakati haipo documented? How can it be referred? Ina maana wananchi na viongozi wao wanakuwa wameikariri kichwani? Naomba elimu tafadhali.

[00:11, 01/12/2023] Ko: KATIBA ni sheria au kanuni zinazoainisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao. KWA UPANDE WA WANANCHI, katiba ni sheria mama...

Read More
administrator December 1, 2023
6
image
JamiiKatibaSheriaSiasa

Ripoti na Tathmini ya Mjadala: Elimu ya Katiba na Sheria Vijijini

Mjadala: Mjadala huu umegusia umuhimu wa elimu ya katiba na sheria vijijini na athari zake katika jamii. Wazungumzaji wameonyesha mtazamo chanya kuhusu mchango wa elimu hii katika...

Read More
administrator December 1, 2023
4
image-1
KatibaSheriaSiasa

ELIMU YA SHERIA NA KATIBA IMEFANIKIWA VIJIJINI ?

[00:04, 29/11/2023] Gi: Ndio, kwa mtazamo wangu! elimu ya sheria na katiba imefanikiwa vijijini kwa kutoa fursa kwa wananchi wa vijijini kuelewa haki zao, wajibu wao na jinsi ya...

Read More
administrator December 1, 2023
10
hij
JamiiKatibaMaendeleo

Mjadala juu ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni muhimu na unagusa masuala kadhaa yanayohusiana na haki za binadamu, utawala bora, na jinsi serikali inavyoweza kutoa huduma kwa wananchi wake. Tathmini ya kina juu ya mjadala huo:

Uimarishaji wa Haki za Binadamu: Kampeni hii inazingatia kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi, hasa katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya ardhi, mirathi, usuluhishi wa...

Read More
administrator November 8, 2023
4
hij
MaendeleoSheria

Wadau wahoji Juu Ya kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia je, ina mikakati ya kutosha kuhakikisha kuwa wananchi wa maeneo ya vijijini wanafaidika na huduma hizi muhimu za kisheria kama inavyofanyika katika maeneo ya mijini?

[10:49, 07/11/2023] T.KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIAIna lengo kuu la kulinda na kukuza upatikanaji wa haki kwa wote kupitia huduma ya msaada wa kisheria nchini Tanzania....

Read More
administrator November 8, 2023
3
  • 1
  • …
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • …
  • 25
Categories
  • Demokrasia (41)
  • Diplomasia (11)
  • Dira (1)
  • Haki (8)
  • Historia (12)
  • Jamii (51)
  • Katiba (82)
  • Maendeleo (50)
  • Sheria (66)
  • Siasa (108)
  • Teknolojia (2)
  • Uchumi (24)
  • Uncategorized (5)

Copyright © 2023 Katiba ya Watu. All Rights Reserved

Socials