MJADALA 22 MEI 2023 KATIKA KATIBA YA TANZANIA,KUNAIBARA ZINAZUNGUMZIA ARDHI KAMA SEKTA KUU AMBAPO HEKTA MRABA MILIONI 44 ZINAFAA KWA KILIMO , HII INAMAANA GANI KATIKA UCHUMI NA RASILIMALI WATU TULIYONAYO? NA WAPI TUMEKWAMA KIKATIBA? TUTOKE VIPI KIKATIBA?”
[15:17, 22/05/2023] +255 74: Kuna mambo ya msingi katika katiba inayofuata ielekeze kwenye suala la ardhi. 1. Kuhusu umiliki wake uweje…milele, 33, 99yrs? 2....






